Humphrey Polepole, una sifa za kuwa Rais wa Tanzania

Humphrey Polepole, una sifa za kuwa Rais wa Tanzania

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.
Mkakati sure wa kumng’oa Polepole toka CCM mapemaa tena bila mikwaruzo. Manake nje ya CCM anakuwa samaki jangwani. Kelele kuhusu wahuni zinageuka sauti ya mtu aliaye nyikani; wasikilizaji nyani, tumbili na fisi! Mama anaupiga mwingi 🤔😃
 
Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?

1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.

Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.

Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.

Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.

Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.

Viva Tanzania
Weee toa maoni yakoweeeeee lakini uhakikishe huyo slow slow wako anakuwa ama mwislamu au mkatoliki kisha ndo uje kumtabiria urais. Hakikisha pia hatoki Kaskazini.
 
Mkakati sure wa kumng’oa Polepole toka CCM mapemaa tena bila mikwaruzo. Manake nje ya CCM anakuwa samaki jangwani. Kelele kuhusu wahuni zinageuka sauti ya mtu aliaye nyikani; wasikilizaji nyani, tumbili na fisi! Mama anaupiga mwingi 🤔😃
Usikariri maisha, mkuu. Dunia inapiga hatua, tena kwa kasi sana. Believe it or not, 2025 inapofika, mambo yatakuwa tofauti sana. The world is fast changing, and changing for good it does!

NB: Nimeweka Kimalkia kwa msisitizo.
cc: Demi
 
Weee toa maoni yakoweeeeee lakini uhakikishe huyo slow slow wako anakuwa ama mwislamu au mkatoliki kisha ndo uje kumtabiria urais. Hakikisha pia hatoki Kaskazini.
Endelea kuota tu, mkuu. Ukiamka usingizini, uje maake ulimwengu uko huku. 🙂
 
Raisi wa kukataa wahuni😅😅
1684163885048.png
 
Usikariri maisha, mkuu. Dunia inapiga hatua, tena kwa kasi sana. Believe it or not, 2025 inapofika, mambo yatakuwa tofauti sana. The world is fast changing, and changing for good it does!

NB: Nimeweka Kimalkia kwa msisitizo.
cc: Demi

Hamna aliyewahi kuichagulia Tanzania Rais
Mapenzi ya Mungu huwa na yatakuwa
 
Polepole huyu huyu aliesaliti mchakato wa katiba baada ya kulambishwa asali.
Weka akiba ya maneno, mkuu. In five or so years to come, wengi watakuja kutembelea nyota ya HP, kama ambavyo akina Waitara na Dr Slaa hivi majuzi walibahatika kutembelea nyota ya Mr Chuma.
 
Wewe ni mmoja wa wajinga wanaotembea na mzigo kwenye nchi hii

Kwa zile Siasa za kishenzi alizoendesha ndani ya nchi hii kwa kushirikiana na Magufuli, atasubiri sana. Hilo jizi la kura unalolipigia debe ni kama unapoteza tu muda.
 
Kuna watu hawajahi kumuelewa Nyerere na hawamuelewi Polepole wala msaada wako Pascal Mayalla hawauelewi

Akili zao hazikubaliani na ukweli ila zinakubaliana na kile wanachokitaka wao

Humphrey Polepole ni hazina tumpe maua yake angali hai
Tumpe maua mshenzi wa aina yake? Sifa aliyojijengea kwenye tume ya Jaji Warioba aliopoteza kirahisi kwa kushiriki siasa za kuhayawani za awamu ya Magufuli. Yaani saa amegeuka ni kinyaa.
 
Tumpe maua mshenzi wa aina yake? Sifa aliyojijengea kwenye tume ya Jaji Warioba aliopoteza kirahisi kwa kushiriki siasa za kuhayawani za awamu ya Magufuli. Yaani saa amegeuka ni kinyaa.

Mshenzi kwako
 
Usikariri maisha, mkuu. Dunia inapiga hatua, tena kwa kasi sana. Believe it or not, 2025 inapofika, mambo yatakuwa tofauti sana. The world is fast changing, and changing for good it does!

NB: Nimeweka Kimalkia kwa msisitizo.
cc: Demi
Changing for good kwa Polepole kuwa Rais wa JMT? What a nasty joke.
 
Back
Top Bottom