Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
amina!.Kuna watu hawajahi kumuelewa Nyerere na hawamuelewi Polepole wala msaada wako Pascal Mayalla hawauelewi
Akili zao hazikubaliani na ukweli ila zinakubaliana na kile wanachokitaka wao
Humphrey Polepole ni hazina tumpe maua yake angali hai
Hivi unawafahamu Watanzania walivyo na mimi nikiwemo? We are very stpd to the highest level. Yaone tu yanavimbisha vichwa ukazani yana akili. East Africa nchi yenye watu wenye akili timamu ni Kenya pekeeMimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?
1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.
Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.
Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.
Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.
Viva Tanzania
Huyu huyu ambaye awamu ya 5 alikuwa anasimamia na kuratibu ufisadi mkubwa wa kutumia fedha za walipa Kodi maskini kununua wanachama, madiwani na wabunge wa upinzani?!Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?
1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.
Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.
Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.
Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.
Viva Tanzania
Msidanganyane humu. Huyo mgonjwa wa UKIMWI ambaye ni Balozi wetu Cuba hawezi kuwa Rais wa Tanzania.Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?
1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.
Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.
Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.
Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.
Viva Tanzania
Naunga mkono hojaMimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?
1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.
Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.
Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.
Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.
Viva Tanzania
Nakubaliana na hoja yako.Polepole aendelee kuandaliwa kuja kuwa Rais baada ya Mama Samia.Naunga mkono hoja, hata mimi niliwahi kushauri Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa? kisha Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!
P
Sasa si atakuwa kama Jiwe aharibu Kila kitu?Mimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?
1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.
Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.
Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.
Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.
Viva Tanzania
Dini gani ?Sasa si atakuwa kama Jiwe aharibu Kila kitu?
Kama mnataka kuishi kama digidigi chagueni huyo mjamaa
Kama mnataka kuwa ma jobless chagueni huyo mjamaa
Kama mnataka kuendelea kufarijiwa Kwa propaganda za mabeberu huku wawekezaji wanakimbia chagueni huyo mjamaa
Kama mnataka kuishi Kwa kupelekeshwa kama mapunda chagueni huyo mjamaa
Kama mnataka kupotea pesa zenu.na kubambikiziwa Kodi,kesi nk chagueni huyo mjamaa
Kama mnataka kurudi kulee ambako mazao yote yataporomoka bei,Watalii qatasita kuja,watu wote kuwa machinga,kukimbilia Ajira ya serikali Kwa sababu kujiajiri hakulipi chagueni huyo mjamaa..
Niliwanyo Kwa Mwendazake na Sasa nawaonya tena ,Hawa watu wa dini hii nyingine Huwa ni wavurugaji wa Maisha ya watu.
Wakristo wengi ni waharibifu walau Mkapa alikuwa na nafuuDini gani ?
Awe rais wa makallio yakoxMimi ni Mtanzania wa kuzaliwa, Nina haki ya kutoa maoni yangu kama ilivyowekwa katika katiba yetu na tamko la Haki za Binadamu. Kwanini nasema unafaa kwasasa?
1. Nimekufuatilia nimeona una uthubutu,
2. Ni mjamaa mbepari, falsafa nzuri kuongoza taifa kama letu.
3.Ni mzalendo na mwadilifu
4. Unapenda kuona kila mtumishi akiwajibika kwa nafasi aliyoaminiwa na serikali.
5. Ni mwepesi kutatua kero kwa wakati sahihi,hutaki kuchelewa.
6. Unasikiliza watu hata wenye kipato cha CHINI, Sifa ambayo wengi hawana.
7. Ni mnyenyekevu wa kuzaliwa na si wakuomba kura. Wengi Sifa hii hawana.
8. Una ndoto ya kuona nchi inajitegemea kwa kutumia raslimali watu na vitu kukwepa mtego wa nchi za magharibi wa misaada na mikopo kandamizi.
9. Unachukia kutoka moyoni ufisadi na viongozi wabadhirifu.
10. Una uwezo wa kujenga hoja pamoja na ushawishi wa kumfanya mtu atamani kukusikiliza na asichoke. Hii Sifa nimeifuatilia kwa muda kidogo. Watu wengi hawana pia.
Sasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.
Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.
Usiogope tafadhali kupima ubavu wa CCM, haijaandikwa popote kwamba CCM wata tawala milele. Kwa Hali ilivyomtaani, Watanzania wakipata mtu makini 2025 watafanya kile kisichotarajiwa. Mwingine atabeza na atakejeli hili lakini hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Naipenda Tanzania kwani ndiyo nchi yenye udongo pekee utakao nizika, napenda kuona ikipiga hatua kwa Kasi na kuwaondolea Watanzania unyonge huu. Tumechezewa Sana.
Viva Tanzania
Wana roho mbaya sanaWakristo wengi ni waharibifu walau Mkapa alikuwa na nafuu
Mimi ni mkristo ila hao Jamaa ni wapuuzi sanaWana roho mbaya sana
Wamemtoa Malawi yuko Amerika Kusini, naona blabla zake zitaishia Atlantic oceanSasa ushauri wangu kama itakupendeza 2025, chukua fomu kupitia chama kingine na si hiki cha sasa unachofanya nacho kazi kwasasa kwani wenye chama Chao wana mipango Yao ya ndege wafananao huruka pamoja.
Kwa uwezo na fikra zako nionavyo unafanya kazi na watu wasio sahihi kwako. Hebu nenda chama kingine na mtengeneze alliance na vyama vyenye nia thabiti na nchi yetu. Na pia uwe na watu sahihi.
Mafisadi hawamkubali maana ndo itakuwa mwisho wao!!Rais wa nyumbani kwenu
Polepole ni fisadi mkubwa ni kwa vile magufuli amekufa. Alipopata mwanya wa kuwa fisadi alikuwa fisadi hasa. sasa kimekosa kinajitia kijamaa, stupid! Kilikuwa kijitu cha hovyo kabisa, mnaokishabikia nadhani mna undugu nacho takatakaMafisadi hawamkubali maana ndo itakuwa mwisho wao!!
Thanks mama D . Ukweli ni kwamba kamwe hawajamwelewa, hawawezi kumwelewa, na hawatakuja kumwelewa hata wangepewa miaka 1000 ya kuishi duniani.Kuna watu hawajahi kumuelewa Nyerere na hawamuelewi Polepole wala msaada wako Pascal Mayalla hawauelewi
Akili zao hazikubaliani na ukweli ila zinakubaliana na kile wanachokitaka wao
Humphrey Polepole ni hazina tumpe maua yake angali hai
Waswahili husema, ^Maneno matupu hayavunji mfupa.^ Pia ^Mkono mtupu haulambwi.^ Where is the evidence Mr Retired General Jealous π π πPolepole ni fisadi mkubwa ni kwa vile magufuli amekufa. Alipopata mwanya wa kuwa fisadi alikuwa fisadi hasa. sasa kimekosa kinajitia kijamaa, stupid! Kilikuwa kijitu cha hovyo kabisa, mnaokishabikia nadhani mna undugu nacho takataka
2025 itapendeza! Akikataa alazimishwe, atake asitake!Nakubaliana na hoja yako.Polepole aendelee kuandaliwa kuja kuwa Rais baada ya Mama Samia.