Uchaguzi 2020 Humphrey Polepole: Upinzani walitaka kuandamana Zanzibar ikashindikana, wamekuja huku bara

Uchaguzi 2020 Humphrey Polepole: Upinzani walitaka kuandamana Zanzibar ikashindikana, wamekuja huku bara

Sisi wakazi wa Dar hatutaki fujo, uchaguzi ushaisha tupo busy na kazi, tunajenga nchi.
Wewe siku hiyo lalazako tu nyumbani, sisi tutakuwakilisha kwenye hayo maandamano usihofu.
 
Semea nafsi yako ndugu Mataga, tunachotaka ni maandamano, kama akili yako imetafsiri kuwa ni fujo basi pole sana
Kaandamane wewe uliyekwazwa, mimi nikaandamie nini.
 
Bora mngetangaza maandamano ya popote ulipo andamana kivyako vyako
Lakini hii ya kukutana sijui wapi kisha mnaelekea ofisi za Tume
Yale yale ya akwilina

Mnaandamana hata kilomita moja amfiki mnasikia ilani ilani ilani ukigeuka nyuma yako hakuna zito, hakuna Mbowe wote wameshakula kona kitambo

Wanakutanguliza mbele ww kabwela una mbele wala nyuma ukapigwe virungu na risasi za moto
Kisha wana siasa wapate mtaji wa kisiasa kimataifa

Ww kabwela ukiwa tayari tumeshakupanda tuta makaburi ya Kisutu
[emoji3577][emoji263][emoji3577]

Tafakuri,,
Siiiiiii
Umesikia risasi zote zilizopigwa Pemba hakuna hata risasi moja iliyompiga maalim seif wala familia yake

Chizi anayetaka kufa atoke aende aandamane ili Mbowe, Lissu, zito wapate pa kuanzia ( mtaji wa kukaa mezani na ccm..
 
Tukutane tare 2, ili tuichome moto ile V8 yake anayotuulizaga kama tunaifaham.
keyboard.jpg
 
Ukiwa unajifanya mwelevu saana,Kuna wakati utapitiliza nakuonekana mjinga,,welevu Ni wazungu wametukandamiza na kuiba rasilimali Mali zetu kipindi chote Cha ukoloni,,na hatujawahi kuandamana kudai Mali zetu,,tunawaenzi vip mashujaa wetu ikiwa Kama hatutaki unafiki,,
 
Bora mngetangaza maandamano ya popote ulipo andamana kivyako vyako
Lakini hii ya kukutana sijui wapi kisha mnaelekea ofisi za Tume
Yale yale ya akwilina
Mnaandamana hata kilomita moja amfiki mnasikia ilani ilani ilani ukigeuka nyuma yako hakuna zito, hakuna Mbowe wote wameshakula kona kitambo
Wanakutanguliza mbele ww kabwela una mbele wala nyuma ukapigwe virungu na risasi za moto
Kisha wana siasa wapate mtaji wa kisiasa kimataifa
Ww kabwela ukiwa tayari tumeshakupanda tuta makaburi ya Kisutu
[emoji3577][emoji263][emoji3577]
Tafakuri,,
Siiiiiii
Umesikia risasi zote zilizopigwa Pemba hakuna hata risasi moja iliyompiga maalim seif wala familia yake

Chizi anayetaka kufa atoke aende aandamane ili Mbowe, Lissu, zito wapate pa kuanzia ( mtaji wa kukaa mezani na ccm..
Mwl Nyerere angekuwa na akili kama zako ungekuta bado tupo utumwani
 
Huku itawezekana. Ila Sasa mtamponza Siro wa watu aende ICC.

Kamanda Siro ukwepe mtego huu kamanda. Utaacha familia yako wao watabaki wanakula kuku kwa mrija.
Hakuna atakayeweza kuandamana sana sana labda kikundi kidogo tu cha wanasaccos.
 
Mwl Nyerere angekuwa na akili kama zako ungekuta bado tupo utumwani
Kwa mwalim Nyerere kulitumika hoja za kisomi sio maandamano
Mwalimu Nyerere alidai uhuru wa Tanganyika bila kumwaga damu hata ya kuku,,
 
Back
Top Bottom