Uchaguzi 2020 Humphrey Polepole: Upinzani walitaka kuandamana Zanzibar ikashindikana, wamekuja huku bara

Uchaguzi 2020 Humphrey Polepole: Upinzani walitaka kuandamana Zanzibar ikashindikana, wamekuja huku bara

Ukiwa unajifanya mwelevu saana,Kuna wakati utapitiliza nakuonekana mjinga,,welevu Ni wazungu wametukandamiza na kuiba rasilimali Mali zetu kipindi chote Cha ukoloni,,na hatujawahi kuandamana kudai Mali zetu,,tunawaenzi vip mashujaa wetu ikiwa Kama hatutaki unafiki,,
Ngumu kumeza
 
Yaani hata shetani anakustaajabia ulivyo mjasiri kuusimamia uongo.
Sura yako haiendani na umri wako sababu kuu ni kwamba dhamira yako inakushtaki kwa mda mrefu zaidi katika maisha yako.
 
Bunduki walizonazo zinawatia jeuri. Hebu siku moja asema tu wazichape kiraia halafu aone kama hajakimbia nchi.
 
Sisi wakazi wa Dar hatutaki fujo, uchaguzi ushaisha tupo busy na kazi, tunajenga nchi.
Mkuu, hata sisi huku kijijini Nkotokwiyana maandamano na vurugu siyo mahitaji yetu; mahitaji yetu ni soko la mazao yetu/bei nzuri, huduma bora za afya, maji, shule, barabara, umeme, nk.
 
Kwakuwa wewe hata bito huna basi jazba kibao......ridhika ulivyo kinyenye wewe
Kwani hilo nilapolepole mbuzi wewe, inawazekana unamshabikia pole pole hata uhakika wa milo mitatu huna we mbuzi, au na wewe nimiongoni mwa wale walalahoi wa Magufuli.
 
Kila la kheri Rais John Joseph Pombe Magufuli

Wapinzani kama kweli wako serious wasusie na Ruzuku zinazotokana na matokeo haya wanayoyaita batili

Mnyika yuko smart sana , bora yeye alichagua kuwa Mbunge Mstaafu, sio hawa kina Zitto na Mbowe ambao ni wabunge wa zamani
Ruzuku safari hii wasahau maana hawana wabunge.
 
Hawatazidi Watu 400?

Mtu kapata ushindi wa kishindo kura zaidi ya 12M then anaenda kukabidhiwa hati ya ushindi na hafla kuhudhuriwa na WATU WACHACHE SANA!!
Mkuu ataapishwa tarehe 4/5 kama unapenda unakaribishwa kwenye uwanja wa Dodoma. Kila Mtanzania ana haki hiyo.
 
Kwani hilo nilapolepole mbuzi wewe, inawazekana unamshabikia pole pole hata uhakika wa milo mitatu huna we mbuzi, au na wewe nimiongoni mwa wale walalahoi wa Magufuli.
Sina Milo mitatu lakini Nina nyumba tatu ....na wake watatu kama wewe .........nawapiga mti deile
 
Ngumu kumeza
1604168671313.png


Huyu mjusi wetu Wajerumani waliiba pale Kilwa na unaingiza mabillioni ya pesa
mbona Watanzania hatuandamani kudai mali zetu?​
 
Haha hahah akati wewe mwenyew ni choko tu.....sema unabana watu wasiku kojolee ndani😂😂😂😂
Choko kama mzee wako ambae namkaza mbupu, bila kusahau bimdanga sako ambae kajaza ngasha kiunoni huku Tigo iko wazi haina tena marinda.
 
Mkuu ataapishwa tarehe 4/5 kama unapenda unakaribishwa kwenye uwanja wa Dodoma. Kila Mtanzania ana haki hiyo.
Mkuu siwezi hudhuria kwenye takataka hiyo.
 
  • Masikitiko
Reactions: Ole
Choko kama mzee wako ambae namkaza mbupu, bila kusahau bimdanga sako ambae kajaza ngasha kiunoni huku Tigo iko wazi haina tena marinda.
Weee endelea kulalamika mi nakusubilia pale shauri moyo Niko na KY jell yangu kabisa kuja kukutapisha kimba
 
Back
Top Bottom