Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Mashinji anasikiliza ukweli unavyopindishwa.Kwani anajijua, na anatambua uwepo wa Mungu????
Yeye anajua uwepo wa Anko magu na kwamba, ana lazima ya kula milo mitatu, mengine yote kwake ni ngonjera.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasukuma wote akili zao sasa hv zinamuwaza anko magu,hayo mengine unapigia mbuzi gitaa.Na Mashinji anasikiliza ukweli unavyopindishwa.
Kwa kweli inasikitisha. Ukipewa cheo ccm Akili yote inaruka..Amekuwa comedian
Amesimama utafikiri amebanwa na call 1 kama sio Call 2Na Mashinji anasikiliza ukweli unavyopindishwa.
Wameipa Chadema Nafasi ya kufanya kampeni. Wachangiaji wameeleza ndugu zao ni kwanini wamechangia pesa.Amesimama utafikiri amebanwa na call 1 kama sio Call 2
Moyoni anajutia
Wamejidanganya
Mchezo ulikuwa hivi mashtaka yapunguzwe faini iwe kubwa au jela wakijua Mh Mbowe na wenzie watashindwa kulipa faini Mashinji watajidai wamelipa faini ( wakati tunafahamu hawajalipa hata ndululu) Wakiamini ni mwisho wa Chadema Upinzani utakufa rasmi then akina bashite waringe imekula kwao
Muziki waliouanzisha wameshindwa kuucheza midomo imekuwa mizito
WATAJUUUUUUUTA kudanganywa
Ujinga wao umewacostWameipa Chadema Nafasi ya kufanya kampeni. Wachangiaji wameeleza ndugu zao ni kwanini wamechangia pesa.
Kijana mzee anapotosha ukweli