Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
CCM imeharibika, kimekuwa chama Cha kihuni
Kitaachaje kuharibika na kutoka kwenye misingi wakati Secretariat imeshikwa na wahamiaji ambao 2015 wote hawakua CCM.
Na ndio maana ili kujikenga wanaleta wenzao kina Mashinji. Mashinji kaeleza wazi kuwa Chadema ni msingi waliandaaa yeye ; bashiru na Kitilla Pamoja na wajumbe wengine.
Kinachofanyika CCM inatekwa na wapinzani maslahi
CCM original tutabakia wafuasi.