Mental illness..insomnia!!
Mwanamume kuwa mpweke ni nadra sana maana wengi wana michepuko.1. Wanandoa
Humu wengi wanaume waliooa ni wapweke , na ndoa za humu asilimia kubwa ni changamoto , so wao wanaishi kiupweke na sonona sasa wakifanikisha kupata mtu au watu wanampiga nakitu kizito wanakuja kulia humu ndani. Ila katika kutoa hoja zao unawaona hawana shida ila wanaoshida sana kulikoni sisi wanawake wahumu.
Single maza ndiye anayepitia kipindi kigumu na sio mwanamume.2. Wanaume ambao hawajaoa ila wamezaa navisirani.
Humu wanaume wapo waliozaa na visirani wanawakera kinoma noma . Jingine wanaume hawa huwa wanajazba na wao hawajiamini na hupanic sana ukiongea kitu wanaweka conclusion maana wao kila saa wanawaza tu kupigana wakizani wanaongea na single mothers wao. Huwa wanakejeli ujinga fulani nawanakera maana wameshachoka maisha. Maana wameshindwa kujitoa kwao.
Kuwa single ni kawaida kwa mwanamume makini. Inamaanisha bado hajapata anayemfaa na umesema vizuri bado hajapata mwenye pendo la dhatiWanaume single
Humu kuna watu ni single men haswa hawana mtu wakuwapa pendo la dhati wamezoea kupata penzi short time na asubuhi wanalipia shoo. Na wengi wanaibiwa samani za ndani na wengine mishahara zao maana wamelewa wakachukua wanawake wa show time.
Ni mwanamume mpumbavu tu mwenye akili za kivulana ndiye hushobokea na kusimp kwa wanawakeWa mwisho kwenye list ni wanaume ambao wanafosi mapenzi.
Humu wapo mtu anamng'ang'ania mwanamke na huyo dada hampendi sasa huyo dada akiwa anamkataa ndio analeta
Ni single mazas tu ndiyo wamejiharibia maisha kwa kuzalishwa kabla ya ndoaWanaume wengi wamejiharibu sana kuzaa kabla yandoa
Ni kweli sana sana wanaumeViongozi wa dini mliopo JF tengeni muda wa kuwafanyia maombi memba humu hali sio nzuri.
Ni nyie hamkuvaa kondomNi single mazas tu ndiyo wamejiharibia maisha kwa kuzalishwa kabla ya ndoa
Eh hayaaKuwa single ni kawaida kwa mwanamume makini. Inamaanisha bado hajapata anayemfaa na umesema vizuri bado hajapata mwenye pendo la dhati
Bora kuwa single na kupiga shoo za short time au kupiga na kusepa kuliko kuishi na mwanamke mpumbavu ambaye hana pendo la dhati
Muda utafika atapata mwanamke anayemfaa.
NIme wachoma mahali pake
Nakumbuka Maua alikuwa dada yetu wa kazi za nyumbani.Humu jf wanaume nao ni wapweke kuna makundi mengi ya wanaume wapweke.
1. Wanandoa
Humu wengi wanaume waliooa ni wapweke , na ndoa za humu asilimia kubwa ni changamoto , so wao wanaishi kiupweke na sonona sasa wakifanikisha kupata mtu au watu wanampiga nakitu kizito wanakuja kulia humu ndani. Ila katika kutoa hoja zao unawaona hawana shida ila wanaoshida sana kulikoni sisi wanawake wahumu.
2. Wanaume ambao hawajaoa ila wamezaa navisirani.
Humu wanaume wapo waliozaa na visirani wanawakera kinoma noma . Jingine wanaume hawa huwa wanajazba na wao hawajiamini na hupanic sana ukiongea kitu wanaweka conclusion maana wao kila saa wanawaza tu kupigana wakizani wanaongea na single mothers wao. Huwa wanakejeli ujinga fulani nawanakera maana wameshachoka maisha. Maana wameshindwa kujitoa kwao.
Wanaume single
Humu kuna watu ni single men haswa hawana mtu wakuwapa pendo la dhati wamezoea kupata penzi short time na asubuhi wanalipia shoo. Na wengi wanaibiwa samani za ndani na wengine mishahara zao maana wamelewa wakachukua wanawake wa show time.
Wakiona unatoa post wanakuita malaya kwa sababu wametendwa na hao malaya ndio wanawatumia kupunguza hisia zao. Wengine wanahitaji huduma za haraka maana akili zao sio nzuri. Unazani unajibizana na mwanaume mwenye akili kumbe hakunaga . Mwenzako hajielewi .
Ameshahama kimwili yupo tu.
Wa mwisho kwenye list ni wanaume ambao wanafosi mapenzi.
Humu wapo mtu anamng'ang'ania mwanamke na huyo dada hampendi sasa huyo dada akiwa anamkataa ndio analeta hasira humu anatukana kila mtu.
Ushauri
Kama upo single kweli wanawake wapo na wapo serious sema nyie hampo serious.
Wanaume wengi wamejiharibu sana kuzaa kabla yandoa , kujipa majukumu yasio yalazima. Hawa kataa ndoa wengi ni single daddies
Tafuteni wanawake serious kuwa serious oeni mkatulie huko . Au muanze kujitibu kiafya na afya ya akili pia maana mshajiaribu kwa kitu sio lazima.
Nani kakuambia ufunje amri ya sita . Ninani? Maana ndio ilizaa watoto ambao sio wa mpangilio kuwa haribia wanawake maisha yao kwakukosa mabwana kisa wao single mothers , kuwa haribu kiakili na huku wangeolewa kwingine. Maisha ni hayo.
Wewe mwenyewe kuwa na mtoto mbali kuwa na mahusiano ambayo hayana faida. Tatu ukiwa na msimamo ukazaa ndani yandoa mengi huacha kutokea maana huyo uliyemzalisha anawajibu wakukutunza na hata kama unamke mdogo unajisifu unawife home . Na watoto unajiepushia mengi mabaya na unapata maendeleo. Goodnight
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 salie mtu kha ! Unachekesha wewe sana mie sikumbuki ulikuwa mfuta ma'xxxxvxxxxi wa kwetuNakumbuka Maua alikuwa dada yetu wa kazi za nyumbani.
Kitambo sana.
sikuwa nimelalaDada maua hujalala tu? Usiopata bwana huu mwaka utakua mrefu sana kwako
Kwa nini mwanamke alikubali kupigwa pipe bila condom?Ni nyie hamkuvaa kondom
Wengine mnawalazimisha na kisuKwa nini mwanamke alikubali kupigwa pipe bila condom?
Umewachoma kotekoteNIme wachoma mahali pake