Humu hata wanaume ni wapweke

Mwanamume mpweke na anayechanganywa na mapenzi kisa wanawake ni mjinga tu na utoto mwingi

Sisi wanaume tunaanza kupigwa na depression msongo wa mawazo pale tunapokuwa hatuoni growth and development in our lives

Unaanza kujiuliza mambo mengi mengi sana kwenye maisha.

Growth & Development are the top source of happiness in a man's life sio wanawake
 
Mwanamume kuwa mpweke ni nadra sana maana wengi wana michepuko.

Wewe mke mpumbavu ukileta ujuaji penzi la mchepuko linachukua nafasi yako
 
Single maza ndiye anayepitia kipindi kigumu na sio mwanamume.

Single maza ni mwanamke ambaye haheshimiki katika jamii, soko lake la kuolewa ni gumu na wengi huwa wanaishia kupigwa hit and run

Wanaume wengi wamejitoa kwa wanawake wa aina hiyo na wameamua kuwatunza watoto wao tu na kuwaacha baby mamas (single mazas) wao wakikahabika tu
 
Kuwa single ni kawaida kwa mwanamume makini. Inamaanisha bado hajapata anayemfaa na umesema vizuri bado hajapata mwenye pendo la dhati

Bora kuwa single na kupiga shoo za short time au kupiga na kusepa kuliko kuishi na mwanamke mpumbavu ambaye hana pendo la dhati

Muda utafika atapata mwanamke anayemfaa.
 
Wa mwisho kwenye list ni wanaume ambao wanafosi mapenzi.

Humu wapo mtu anamng'ang'ania mwanamke na huyo dada hampendi sasa huyo dada akiwa anamkataa ndio analeta
Ni mwanamume mpumbavu tu mwenye akili za kivulana ndiye hushobokea na kusimp kwa wanawake

Kings are never simp on women, kwa sababu tunajua mwanamke ndiye anamuhitaji zaidi mwanamume
 
Viongozi wa dini mliopo JF tengeni muda wa kuwafanyia maombi memba humu hali sio nzuri.
 
Eh hayaa
 
Nakumbuka Maua alikuwa dada yetu wa kazi za nyumbani.

Kitambo sana.
 
Nakumbuka Maua alikuwa dada yetu wa kazi za nyumbani.

Kitambo sana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 salie mtu kha ! Unachekesha wewe sana mie sikumbuki ulikuwa mfuta ma'xxxxvxxxxi wa kwetu
 
Vijana Wanawake Wamegawanyika Makundi Mawili. Wanaohitaji Ndoa Na Wanaohitaji Starehe. Sasa Sisi Tunawahitaji Wa Starehe Tuwafanye Wa Ndoa Na Wa Ndoa Tuwafanye Wa Starehe. Kumbuka Mungu Akupi Unachokitaka Anakupa Unachostahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…