Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #61
Nimewaza tu wala sijaandika kumkwaza mtu ila kuna muda watu waambiwe ukweliUmewachoma kotekote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewaza tu wala sijaandika kumkwaza mtu ila kuna muda watu waambiwe ukweliUmewachoma kotekote
Kabisa kabisaNimewaza tu wala sijaandika kumkwaza mtu ila kuna muda watu waambiwe ukweli
Na mabesti zao wamekimbia piaKabisa kabisa
Wamenyali😂😂Na mabesti zao wamekimbia pia
Kuna huyu eti anaforce apendwe😁🤣🤣 hana helaWamenyali😂😂
Mie nipo gadooMbona unaonekana unastress zaidi kuliko ulowazungumzia.
Akapendwe nyumbani kwaoKuna huyu eti anaforce apendwe😁🤣🤣 hana hela
Sawa umefikiria nini kutupopoa na mfungo wote huu mana wengine na swaumu imekuwa kama kisingizio tunaonekana kama wafungaji kumbe apetite ya kula ishakufa kw stressMie nipo gadoo
Nimetoa factSawa umefikiria nini kutupopoa na mfungo wote huu mana wengine na swaumu imekuwa kama kisingizio tunaonekana kama wafungaji kumbe apetite ya kula ishakufa kw stress
Upweke ulikua unamsumbua na nadhan mpaka sasa hivi bado yupo single,dada yangu huyu wa kimeru sijui nimsaidiaje 😀🤣