Humu hata wanaume ni wapweke

Humu hata wanaume ni wapweke

Kinachomfanya Me kuwa mpweke na kupata stress ni kuwa na uchumi duni, yani kama hajajipata kimaisha hapo stress lazima awe nazo, tofauti na mwanamke ambaye ukifika umri fulani bila mahusiano rasmi anapata stress na kuamua kufanya maamuzi magumu.

Tumeona wadada wengi wakifika 30 wanaamua kuzaa tu ili mdari wawe na watoto as uwezekano wa kuoelewa unakuwa mdogo.
 
Back
Top Bottom