Humu JF kila mtu anajua kila kitu!

Humu JF kila mtu anajua kila kitu!

Humu jf kuna mtu mada za Siasa yeye yumo, mpira yumo, Mahusiamo yumo, music yumo, vita yumo, dini yumo, magonjwa yumo tena anaweza akakupa kitu na ukadhani labda ana Phd ya udaktari, migogoro ya kisiasa yumo yaani akichambua migogoro ya Marekani na urusi unaweza dhani labda amesomea ata diplomasia Daaaah wanajf mi nimenyoosha mikono.

Mfano mzuri ni mshana je na wengine yaani yeye kila jukwaa yupo na hakuna kitu asichokijua Daaaah 😱 kila kitu yeye anajua😂😂 afu kuna wale sasa yeye anasubiri mada iletwe jukwaani yeye apinge, halafu kuna huyu yeye anasubiri mada tu atukane au achokoze mtu waanze kuporomosheana mitusi.

Yaani nyie kila kitu mnajua.
Usisahau watu ambao ni chadema na wakati huo huo ni mashabiki wa simba, tabu tupu
 
Kumekuchaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom