Usisahau kuwa wengine ukipost wanakuona na birthday suit yako...🙂😉🙁Mi nafahamiana na members zaidi ya 70. Wengi kati yao ni members wa Dar na Arusha.
Nimeshaonana nao na sijawahi kujuta kufahamiana nao. Zaidi ya nusu ya hao wameshafika mpaka nyumbani kwangu, nimeshashirikiana nao katika matukio ya kijamii kama harusi na misiba.
Kuna members kama 30 nilionana na kufahamiana nao mara moja tu kwenye JF get together party...
kwahiyo mkiona naitwa babu mjue ni heshima ninayostahili...
nyingine ni za kike lakini anayetype ni MEKuna ID pia zinajipendekeza sana ktk post za madada wa mjini, yani hawa maduu hata wakiongea shit wenyewe nao wana tiririka shit hata Kama yaliyomo yamo.
Hahaaaaaaaaa huo utakuwa UCHIZI nimecheka sanaaaSio kuwa wanaambiana, unaweza kushambuliwa na mtu mmoja, lakini kwa ID hata tano tofauti!
Mtu anaanzisha thread fulani, zikafuata comment hata nne za kumuunga mkono, kumbe ni huyo huyo mmoja!
Hahahaha hapana... mimi ni mtu mutlibuUsisahau kuwa wengine ukipost wanakuona na birthday suit yako...🙂😉🙁
nyingine ni za kike lakini anayetype ni KE
nimekosea mkuu ngoja nieditSasa mkuu ulitaka ya kike awe anatype ME?? Si ataonekana kama anapakatwa?
Sasa mie nawe twaonana lini babu?Mi nafahamiana na members zaidi ya 70. Wengi kati yao ni members wa Dar na Arusha.
Nimeshaonana nao na sijawahi kujuta kufahamiana nao. Zaidi ya nusu ya hao wameshafika mpaka nyumbani kwangu, nimeshashirikiana nao katika matukio ya kijamii kama harusi na misiba.
Kuna members kama 30 nilionana na kufahamiana nao mara moja tu kwenye JF get together party...
kwahiyo mkiona naitwa babu mjue ni heshima ninayostahili...
Owkei wacha nikae mkaoDecember natia timu...
Usilete visingizio vyako vya kitoto...Owkei wacha nikae mkao
Wallah vile sileti tehUsilete visingizio vyako vya kitoto...
Jose wewe hujuani na yeyote?Huenda mkuu huwezi kujua