Humu JF kuna watu mnajuana eeeh?

Humu JF kuna watu mnajuana eeeh?

Mi nafahamiana na members zaidi ya 70. Wengi kati yao ni members wa Dar na Arusha.

Nimeshaonana nao na sijawahi kujuta kufahamiana nao. Zaidi ya nusu ya hao wameshafika mpaka nyumbani kwangu, nimeshashirikiana nao katika matukio ya kijamii kama harusi na misiba.

Kuna members kama 30 nilionana na kufahamiana nao mara moja tu kwenye JF get together party...

kwahiyo mkiona naitwa babu mjue ni heshima ninayostahili...
Usisahau kuwa wengine ukipost wanakuona na birthday suit yako...🙂😉🙁
 
Kuna ID pia zinajipendekeza sana ktk post za madada wa mjini, yani hawa maduu hata wakiongea shit wenyewe nao wana tiririka shit hata Kama yaliyomo yamo.
nyingine ni za kike lakini anayetype ni ME
 
Sio kuwa wanaambiana, unaweza kushambuliwa na mtu mmoja, lakini kwa ID hata tano tofauti!
Mtu anaanzisha thread fulani, zikafuata comment hata nne za kumuunga mkono, kumbe ni huyo huyo mmoja!
Hahaaaaaaaaa huo utakuwa UCHIZI nimecheka sanaaa
 
Usisahau kuwa wengine ukipost wanakuona na birthday suit yako...🙂😉🙁
Hahahaha hapana... mimi ni mtu mutlibu
images
 
Kuna wale wa Lumumba buku 7 wanajuana maana wako ofisi moja.
 
Mi nafahamiana na members zaidi ya 70. Wengi kati yao ni members wa Dar na Arusha.

Nimeshaonana nao na sijawahi kujuta kufahamiana nao. Zaidi ya nusu ya hao wameshafika mpaka nyumbani kwangu, nimeshashirikiana nao katika matukio ya kijamii kama harusi na misiba.

Kuna members kama 30 nilionana na kufahamiana nao mara moja tu kwenye JF get together party...

kwahiyo mkiona naitwa babu mjue ni heshima ninayostahili...
Sasa mie nawe twaonana lini babu?
 
Back
Top Bottom