Hapa enzi zetu wahenga kungekuwa na amsha amsha tunapeana address tu za maeneo ya matukio na tunakutana kweli na Kula bata na Biriani.
Lakini sasa hivi kimya, nyie vijana vipi? Mbona mmezubaa hivi? Hebu changamkeni! Kama kuna mtoto mzuri yupo hapa Liquid opposite TIA ajifanye kama anajikuna atakunywa na Kula bure hadi majogoo