humu ndani hakuna wa kuoa kabisa

humu ndani hakuna wa kuoa kabisa

Yaani huwa naobna huruma sana hadi nasema hivi ingekua sijaona ningewaoeni wote but mazingira na Dini zetu hizi na uchumi haviruhusu...yaani hua naumia sana ukiona Dada mrembo anatafuta mume...it pains sana hua namwambia hata my wife wangu kuwa wewe una bahati na Mshukuru MUNGu maana wengi wa wenzio wanawalilia hao waume hawawapati kabisa...
 
kweli kabisa wengi wanaleta utani wakati mtu anakuwa serious
 
wapenzi wa kweli hawatafutwi kwenye mitandao labda kama unataka wa kukugonga one tyme utapata
 
wewe walio jf ndio hao walio mtaani sasa wa mtaani hawataki kuoa hivyo hivyo hapa jf. watu wanataka kugegeda bwana.
 
nimefuatilia toka mbali topic zote za kutafuta waoaji humu ndani nikagundua ni bure kabisa,wadada wengi wako verry serious but mens are not serious,kwann lakini?basi kama huu ni ukumbi wa kujifurahisha na utani mwingi poa,lets gooooooo
Mimi nikajua wakaka tuko serious ila wakuolewa ndio hamna.
 
wewe walio jf ndio hao walio mtaani sasa wa mtaani hawataki kuoa hivyo hivyo hapa jf. watu wanataka kugegeda bwana.
Up to this moment am writting this, i dont know whether somebody mzabzab ​is she or he.
 
jamani yani umeongea kwa uchungu, waoaji wapo sema kujua yupi yuko serious hiyo ndo kazi

Ni kweli kabisa Mocrana unayosema, maana hawabandikwi vibao usoni, ni kiza kinene kutambua huyu wa kweli au si wa kweli. Tena unakuta mwingine yeye yuko seriosy kupata mwenza mwingine yuko kwa ajili ya mgegedo tu. Pole sana ndugu mleta mada utapata muombe Mungu atakutimizia haja ya moyo wako.
 
Wapo isipokuwa ni vigumu kumjua mtu kama ni mkweli humu na yeye kukujua kama na wewe ni mkweli pia, utani mwingi sio kigezo muombe Mungu kwanza akusaidie kwenye hilo zoezi ambalo halitakiwi kufanyiwa mzaha hata kidogo. Ukitafuta mchumba kwa akili na nguvu zako mwenyewe utachemsha huta mpata mume mwema kamwe. Wanaume huwa hawajali umri wao kuwa mkubwa bila kuoa bali wanajali umri kuwa mkubwa bila kuwa na pesa au maisha mazuri, ila wanawake wao ni tatizo sana umri kuwa mkubwa bila ya kuolewa au kuzaa hata kama ana pesa na maisha mazuri.
 
Siku izi mkishazoeana tu, anaanza kuleta shida za nyumbani kwao.
Hivyo wanagegedwa na kuachwa.
Ule wimbo wa "utanibeba leo, umekula hela zangu" ndo unapofiti.
 
Huyo ni he. Na kifanyio chake kiko kiganjani. Ukimpa mkono tu anakugegeda fasta!
cc mzabzab
Asante kwa taarifa, posts zake nimekuwa nashindwa kuzijenda, ila staili yake ya ugegedaji ndo imestua tena, mkono tu anafanya vitu duuuu, huyu jamaa ni mkareeeeee!!!
 
Unataka ukaitengenezee dawa ya ndago?

kwa bahati mbaya sana mimi siyo mkulima , ila naitaka kwa sababu ni haki yangu kama faida ya kuwa na mke mmoja! kama wewe ni mama huruma, chapa mwendo sitaki hata kukusikia.
 
nimefuatilia toka mbali topic zote za kutafuta waoaji humu ndani nikagundua ni bure kabisa,wadada wengi wako verry serious but mens are not serious,kwann lakini?basi kama huu ni ukumbi wa kujifurahisha na utani mwingi poa,lets gooooooo

Kwa walio serious kutaka wapenzi humu siwashauri kabisaaaa!!!Humu kuna vimeo balaaaa!!!My brother alijaribu kutafta mke humu humu na alichokiona hakuamini macho yake!!Humu kuna makahaba wakike na wakiume aisee, yani kama unataka kahaba wa kuvinjari nae na pia kama pesa zako zinakuwasha hujui uzituieje basi humu patakufaa, otherwise DONT YOU DARE!!
 
ndo tatizo lenu vijana wa sasa watu wako serious nyie mnaleta ujingaujinga tuu...bikra ndo umeijua leo

ujirahisishee hafu leo umeshajichokea ndiounataka mstaarabu na mcha mungu aliyejiheshimu wa kukuweka ndani nenda kwa unaofanania nao, wapo kwenye madanguro, night club n.k
 
Back
Top Bottom