Humu ndani kumepoa sana

Acha watu wenye mapene yao wajienjoy wewe umekariri
Life isn't constant. Na ujue jf sio political party kila mwanajamii ana uhuru wa kuingia
 
Sure, kutoka KIA mpaka town ni full mahindi tu, nimeona hadi baadhi ya mashamba wanafanya promo ya mbegu za hayo mahindi yaliyoko shambani.
Sasa haujaingia ndani ndani meru. Meru agro na bajuta international elimu zao zilisaidia saana. Lakini pia ile ardhi kwa kilimo ipo vizuri aseeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…