Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Hawa wazee ndiyo wanafanya tusipate wachuchubwazuri.
Leeni wajukuu tuachieni viwanja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leeni wajukuu tuachieni viwanja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anko bwanahumu huwa unajibiwa kulingana na ujinga wako sio kulingana na umri wako
nimefanyaje tenaAnko bwana
Ahaha..Kweli kabisa Mkuu
The Humble Dreamer uache kutukana Wat wakubwa mdogo wangu [emoji3][emoji3]
I'm on that good kush and alcohol
Kama hao babu na bibi wakiwa wajingawajinga basi wataoga matusi kama kawaida...Wakuu habari na poleni na hili janga la COVID-19.
Jana mimi kama Mchimba Chumvi niliweka tangazo humu la kuuza sim yangu na nilifanikiwa kwa asilimia 1000.
Sasa bwana jioni nilifanikiwa kupokea simu ya mtu analiedai hii anaitaka hii simu kiukweli hakua na mengi zaidi ya kunielekeza alipo tuonane anununue simu tofauti na wengine.
Leo asubuhi nikamuibukia mpaka eneo hilo,kiukweli ninavyoongea nae kwa simu alisound kama father fulani hivi .
Nilivyofika eneo la hilo nikampigia akaniambia bado hajafika eneo hilo nimsubiri, punde akanipigia aisee kugeuka nikamuona nilipigwa na butwaa ni mzee sana kama +65yrs hivi anyway tukafanya biashara .
Vijana hasa sisi early 20's humu tupo na zaidi ya wazazi wetu humu,tuheshimiane hata kama usimheshimu mtu kwa I'd yake, nimestaajabu sana kumuona huyu mzee ambaye kaniambia alijiunga jf 2010 na vile tunavyojibizana humu.
Shikamoo mkuu japo hujanitajia I'd yako ikiwa yangu unaijua.
Heshimu kila mtu you never know.
Uzi tayari.
Hahahahh Sawa Sawa Nzuri Hiyo MkuuAhaha..
Kaka mimi ni mtiifu kwako kwa kila unaloniambia, uliyonifundsha nikiwa mdogo ntaendelea kuyakumbuka. Kaka usisite kunikumbusha pia ili niwe mtiifu zaidi kwa wote
Nasepa leo. nitakujulisha.Shikamoo dada hali mbaya huku
Jr[emoji769]