Humu unampa sifa nani kwa lipi ili aolewe au aoe?

Humu unampa sifa nani kwa lipi ili aolewe au aoe?

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Ni weekend ila kwako wewe kwa kumzoea mtu wa JF na umekuwa benet naye kiurafiki sio kimapenzi na unahisi ukitoa sifa zake atapata kusudio la moyo wake basi leo mpe sifa mwenzio akatulie kwake mwaka huu fungukeni mie naanza na mie.

Mwenyewe mie mremboo ila nimeshapata humu lihandsome langu nampendaje anajua he saw qute na akivaa nguo zake zile anawaka nimempatia humu humu now ni mambo ya kiss na i love u
 
Ni weekend ila kwako wewe kwa kumzoea mtu wa JF na umekuwa benet naye kiurafiki sio kimapenzi na unahisi ukitoa sifa zake atapata kusudio la moyo wake basi leo mpe sifa mwenzio akatulie kwake mwaka huu fungukeni mie naanza na mie.

Mwenyewe mie mremboo ila nimeshapata humu lihandsome langu nampendaje anajua he saw qute na akivaa nguo zake zile anawaka nimempatia humu humu now ni mambo ya kiss na i love u
Wacha bhana...usiniambie
 
Ni weekend ila kwako wewe kwa kumzoea mtu wa JF na umekuwa benet naye kiurafiki sio kimapenzi na unahisi ukitoa sifa zake atapata kusudio la moyo wake basi leo mpe sifa mwenzio akatulie kwake mwaka huu fungukeni mie naanza na mie.

Mwenyewe mie mremboo ila nimeshapata humu lihandsome langu nampendaje anajua he saw qute na akivaa nguo zake zile anawaka nimempatia humu humu now ni mambo ya kiss na i love u
Hongera kumbe watu mnanufaika na jf
 
Back
Top Bottom