Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
- Thread starter
- #121
Kongosho,umeniorodheshea orodha ya makosa ukitaka kuhalalisha makosa,nani amekuambia kosa linakalalisha kosa?Masuala ya watoto walio matokeo ya zinaa kuwa manabii,makosa ya uzinzi ni ya wazazi unamhusishaje mtoto?Mtoto hahusiki na ujinga wa wazazi.Pia Daudi kumuua jemedari wake kisha kuzini na mkewe sio sifa,ili kuthibitisha hili soma ujue nini kilitokea baada ya zinaa hiyo.Kuhusu wizi na dhambi zingine ni kwamba,hapa tunazungumzia mambo ya MMU,kama wizi unahusika sawa!!!!