Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwanini inakuwa ni nadra kuupata?Urafiki ni kitu kizito sana na urafiki sio ukisema ndio na yeye aseme ndio. Urafiki sio kukubaliana kwa kila kitu bali kuambiana ukweli hata kama unamkera mwenzio kwa sababu unachojali ni maendeleo yake zaidi kuliko atajihisije.
Urafiki ni kufurahia maendeleo ya mwenzako genuinely hata kama anakupita
Urafiki ni kujitoa, urafiki ni kutokuhesabiana fadhila, urafiki ni bond kubwa kwa mtu ambaye hamna uhusiano wa damu.
Ukipata rafiki kwa maisha haya ni achievement kubwa japo ni kheri usiwe nao kuliko kuwa nao ambao si sahihi
Urafiki upowa kweli upo ila ni nadra kuupata
Tena ambao hawana shughuli ya kufanya. Huwezi kaa masaa yote hayo hospitali eti kisa urafiki, hata kama mmeshibana kiasi gani utaondoka kwenda kufanya shughuli zako huku ukiendelea kumjulia hali.Hao sio marafiki bali ni watu wa kampani tu
Inategemea na mifumo yako ya uchumi ulivyoi-set wapo amabao ata wasipokuwepo kwenye ofisi zao pesa zinaendelea kujizalisha, mfano 'youtubers'Tena ambao hawana shughuli ya kufanya. Huwezi kaa masaa yote hayo hospitali eti kisa urafiki, hata kama mmeshibana kiasi gani utaondoka kwenda kufanya shughuli zako huku ukiendelea kumjulia hali.
Napambana kutafuta marafiki wa huko ulimwenguniWewe binafsi una sifa za kufaa kuwa rafiki yako mwenyewe?
Basi hicho kigezo cha kusema kushinda hospitali siku zote ndo urafiki wa kweli kiondoe.Inategemea na mifumo yako ya uchumi ulivyoi-set wapo amabao ata wasipokuwepo kwenye ofisi zao pesa zinaendelea kujizalisha, mfano 'youtubers'
Tutawajuaje sasa kwamba hawa ndio marafiki sahihi?Rafiki wa kweli wapo ila shida unaweza kuwa na mtu kwa traits anazokuonesha haikupi Shaka kujua ni real friend shida uwa tunawapoteza sisi wenyewe kwa tabia za kiukoo tulizorithi hasa uchoyo ,ubinafsi na kutokujali
Kwa marafiki ulionao sasa, leo hii uko hospitali una miezi mitatu umelazwa ni yupi atakayekuwa bega kwa bega na wewe?Basi hicho kigezo cha kusema kushinda hospitali siku zote ndo urafiki wa kweli kiondoe.
Na hawa business partners wanaweza kukutanguliza mbinguni ili wamiliki hiyo biashara yoteWe dont need Friends nowdays, We only needs Business Partners
Na kwa nini uwe wa utotoni tu, huku ukubwani ni nini kilichowabadilisha?Marafiki wa kweli ni wa utotoni
Usiumizwe sana na marafiki wa ukubwani Usiwaamini sana marafiki wa ukubwani Wachache sana huwa wakweli na wasio na agenda kificho Marafiki wa kukutana high school Marafiki wa kukutana vyuoni Marafiki wa kukutana makazini Marafiki wa kukutana ukubwani kwenye biashara, uchumba nknk.. Si marafiki...www.jamiiforums.com
Urafiki siku hizi ni wa mchongoTatizo watu hawataki kuambiwa ukweli, rejea kwenye mada kuhusu video
Hata Ndugu au Marafiki wanaweza kufanya hivyo 🤣Na hawa business partners wanaweza kukutanguliza mbinguni ili wamiliki hiyo biashara yote
Kabisa,lets meet nipe dili za mahela upite hiviUrafiki siku hizi ni wa mchongo
Ni kuwa makini tu,marafiki uuaKabisa,lets meet nipe dili za mahela upite hivi
Urafiki wa sikuhizi ni wa kuliana wake 🤣🤣🤣
Wazazi wetu walikuwa wanakaribishana nyumbani na kutambulisha wake zao...ila sikuhizi DAAAH...wanapeana namba mchezo umeisha
Ninae mmoja, naamini atafanya hivyo lakini sio kwa kukesha na mimi hospitali maana ana kibarua chake lazima mambo mengine kwa upande wake yaendelee.Kwa marafiki ulionao sasa, leo hii uko hospitali una miezi mitatu umelazwa ni yupi atakayekuwa bega kwa bega na wewe?
Na huo ndio ukweli, na ukishalitambua hilo ni kuishi nao kwa tahadhariUrafiki siku hizi ni wa mchongo