Huna mtaji? Hii hapa njia ya haraka kupata utajiri

Hakuna mafanikio bila kuumia,lazima kumshirikisha mwenyezimungu wakati unapambana
 
Hyo kauli anatakiwa aseme mtoto wa kike pale anapotongozwa na mwanaume barabarani..
(Inni akhafu llah.)
Anhaaa fact
Ila kwa kijana mpambanaji hatakiwi kusema hivyo?
 
Anhaaa fact
Ila kwa kijana mpambanaji hatakiwi kusema hivyo?
Muogope mungu kwenye kufanya ufiraauni na ubakaji,
Ila kwenye kutafuta hela hata kama unatafuta kwa haramu unatakiwa useme EE MWENYEZI MUNGU NISAIDIE
 
Muogope mungu kwenye kufanya ufiraauni na ubakaji,
Ila kwenye kutafuta hela hata kama unatafuta kwa haramu unatakiwa useme EE MWENYEZI MUNGU NISAIDIE
᜵[emoji23][emoji23]we mtu hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…