Sonara7
Member
- Oct 23, 2022
- 96
- 127
Hakuna mafanikio bila kuumia,lazima kumshirikisha mwenyezimungu wakati unapambanaLeo ni leo.
Leo nimeamua kuweka ukweli wote wazi mbele yenu.. Kwanza uzi za maana watu mnakuwa wagumu kujibu ila nyuzi za hela na mafanikio ya haraka mnakuwa wa kwanza.
Haya siri ni kama ifuatavyo. Hakuna njia ya mkato ya mafanikio fanya kazi kwa bidii mshirikishe Mungu