Huna Wajibu wa kumtunza au kumhudumia Mzazi wako akiwa chini ya miaka 60 kama haumwi

Unajua kusoma sana siyo kuelimika. Naweza kusema mleta mada kasoma lakini inaonekana hajaelimika Bali kaathiriwa na vyeti vya darasani.

Kipi kinakufanya uache kumhudumia na kumtunza mtoto wako akishakua?
Watu kama nyie huwaga najua hamwezi kujenga hoja kutetea upande mliopo.
 
Kukuelewa itakua ngumu sabab wanahisi huo ni wema na baraka.


Kwanza kumsaidia mtu yoyote ni muhimu kama unaweza kufanya hivyo ila siku hiz kuna huo ukiritimba wazaz wananguvu ya kudanya kazi na kujitafutia lakini wanamtegemea mtoto,mfano kuna jirani yangu hapa yeye umri mdogo lakini ataki kufanya kazi anasema amezaa watoto wa kazi gani.Bahati mbaya watoto hawajajipata lakini mzazi kutwa kutaka marejesho hii hata mungu anaikataa.

UMEONGEA VIZURI SANA ILA HUWEZI KUELEWEKA SABAB TULIO WENGI MIOYO NDO HUFANYA KAZI SIO AKILI
 
Mkuu nimesoma uzi kwa makini nimeona una hoja usipuuzwe,,
Miaka 60--50 sio mzee kwwnn uwe tegemezi?

Point ya mleta mada ilikuwa ni kuwapa alert call wale wazazi wote ambao hawajafikia umri wa kuchoka na hawajishughulishi kutafuta pesa wao kazi yao ni vizinga na kusumbuwa watoto wao..

Haiwezekani mzazi ana miaka 50 --60 anaona tayari ameshazeeka na anahitaji kuwa tegemezi kwa watoto wake..

Wazee wenzangu na wazee watarajiwa tunatakiwa tusibweteke wala kujiona tumeshazeeka kwenye umri wa miaka 50-60.

Tuendelee kupambana hadi kieleweke.,tufanye kazi Kwa bidii na tuandae maisha yetu ya baadae ili.kuepuka usumbufu kwa watoto wetu..

Mleta post ana kitu huyu asipuuzwe..
 
😁
 

Nashukuru sana kwa kunielewa mkuu.
Barikiwa
 
Sijui kwanini wabongo sio waelewa, kumpa zawadi ni tofauti na kumuhudumia. Siku upo vizuri umejisikia tu ukamtumia muamala tigopesa ni tofauti na kumuhudumia. Labda nikupe mfano Mimi hapa mama angu hafanyi kazi namuhudumia mimi, nafanya yafuatayo
1. Nimemjengea nyumba anaishi hapo
2. Bills zote za hapo nyumbani nalipa mimi, umeme na maji
3. Pesa ya chakula hapo nyumbani mimi ndo mtoaji, nimemuwekea bajeti Kila mwezi namtumia almost laki 4.
Huko ndo kuhudumia, achana na zawadi unazotoa mara moja Kila baada ya miezi miwili au mitatu.
Sasa mtibeli anasema wajibu wa kumuhudumia mzazi kama hana changamoto ya kiafya basi ni kuanzia miaka 60.
 

Tatizo la watanzania ni kutojifanya hawaelewi wakati mambo yako wazi.
Kitu kinaeleweka lakini wanakifanya kionekane hakieleweki.
 
Sheria sio makaratasi ni mtindo wa maisha uliokubalika kutumiwa na wanajamii....
 
Nashukuru sana kwa kunielewa mkuu.
Barikiwa
Inaonekana wazee wengi humu JF kazi yao ni vizinga na kusumbuwa watoto wao hata kama umri wao wa kuchoka haujafika.

Tupambane na kutafuta maisha Mungu hajaweka limit ya umri wa kutoa riziki..
 
Kwanini wazazi wa Afrika ndo hupenda lelewa?
 
Alichoandika naona hujakielewa pengine urudie mstari kwamstari

Yuko sahihi unamuhudumiaje au kumtunza dingi au motheri Yuko chini ya miaka 60 nyie ndio mnafanya jamii iwe ya kivivu tamalaki na hawaumwi

Labda kidogo miaka 60+ napo liwe jukumu la gvt zetu
 
Mimi napenda Haki, ukweli, akili na upendo.

Huwezi elewa ninachoandika mpaka uongozwe na hayo mambo manne.
Unachoandika makes sense lakini you are making an assumption ya familia zote kuwa Sawa which is not correct ! Kwa familia nyingi za kiafrika kumsomesha mtoto mpaka aanze kufanya kazi familia inakuwa imeuza kuku, mifugo na mazao ili kumuwexesha mtoto kusoma hivyo huo unakuwa aina ya uwekezaji!! Na unapowekeza you expect return on your investment.! Hivyo watoto kuwasaidia wazazi wao irrespective of their age ni wajibu wao.
 
mi simuelewagi sana huyu jamaa,ujinga wowote unaokuja kichwani anauandika tu
 
Usitegemee watoto wakupe furaha, wewe ndio unatakiwa kuwapa furaha watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…