Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
- Thread starter
-
- #21
Haaa wewe unasema miezi saba,watu wanapatia uchungu shambani!...hivi ujue hata wakati huyu mama anavyokua ananenepa anaweza akaona ni kawaida ila anapokua ametoka ndo anapoona tofauti ya kabla ya kujifungua na baada..na kupunguza unenen inakua ni kazi nyingine!
mmmh Mungu nisaidie sijui naogopa nini
Noted with thanks mkuu!
Kaka nina dada yangu whom ni mkubwa kwangu kwa miaka almost mitatu whom kutokana na kutokuchaguliwa kwenda shule za serikali enzi hizo na familia yetu ikijishosheleza tu kwa mlo na kushindwa kumpeleka private aliishia tu kuwa house girl wa wenye maisha bora town alipong'aria shavu,thereinafter aliporudi kijijini akachukuliwa faster na then shemeji yangu!
Frankly iliniuma kidogo wakati huo lakini muda unaponya majeraha,leo hii dada yangu ana watoto wanne,ukiambiwa hata amezaa huwezi jua so far kwenye family aliyoolewa ni yeye pekee ana jukumu la kutunza wakwe zake,kutunza mji,kulea watoto,kutunza mifugo,kutunza shamba and likely!
Wenzake waliochaguliwa kwenda shule wakati wake waliishia form four/six na kuunga hapa na pale kwa hutu tukozi nyemelezi,wamepata mabwana wanaojua kuhudumia,wamezaa sana sana mtoto mmoja kisha kunenepeana utadhani mbuzi wa hitma,kutembea kwenyewe taabu,wakipanda vitz inaenda mwendo wa bata,kuhema juu juu utadhani uhai unataka kuwachomoka!
Yatosha kusema kwamba hawa wa kijijini kuna vitu wanakosa,exposure,umbea wa saluni na haya mazaga zaga ya Mc Donalds ila wana span ndefu kuliko hawa broilers! (samahani kwa vibonge) Huo ndio ukweli!
mkuu pole kwa hilo.. maisha ya shamba si mchezo!! wanawake wana purukushani nzito sana rafiki yangu! kuamka ni almost saa kumi usiku, kazi nzito sana wanafanya huku waume zao wakiwa wametulia tuli! kwa kawaida huchukuliwa kama labourers!.. ndio maana wale miili yao haiongezeki hata kidogo, mishe mishe ni nyingi, kutembea kwenyewe unaweza kukuta anatembea zaidi ya km 100 daily.
shamba kuna kazi kweli!
Mkuu kijijini hakuna tofauti na kambi za kijeshi, mwanamke kajifungua leo,kumpet pet ni siku ile tu atakapotoka zahanati ya kijiji alikoenda kujifungulia, na msaada pekee atakaopata ni kusaidiwa kichanga hadi nyumbani...ni mwendo wa ngondi!
Chakula ni uji wa ulezi na ndizi za kuchoma zilizonakshiwa kwa mafuta yaliyopatikana kutokana na maziwa ya ng'ombe! Huku shughuli kibao zikimwandama ataachaje kuwa unaoita 'romantic'!
Mjini ukute mke mwenyewe ni hawa walotoka kwenye familia bora,kisha kapata kaexposure ka kwenye kideo kupia hizi chereko,hajui hata kushika ufagio,maid wa kumfulia hadi gagulo,na happen kampata mume ATM aliyekuwa anasaka mtoto kwa udi na uvumba ataachage kuwa boflo wakati hata kuwasha luninga ni kazi ya 'dada wa kunyumba?'
mkuu umenena kabisa
mwingine anaweka wasaidizi wiwili anaita ka mama wa kihindi
hana analofanya zaidi ya kula wakati mwingine hata kunyonyesha anabebewa na dada
kila baada ya 10dk analetewa chakula ukute kule kwa kina mangi balaa mama mkwe hataki aibu anakushindilia mtori
kijijini uji anajitengenezea mwenyewe[/QUTE
Note with thanks nyingi mkuu, u mmoja wa watu naowaheshimu sana!
mmmh Mungu nisaidie sijui naogopa nini
mkuu umenena kabisa
mwingine anaweka wasaidizi wiwili anaita ka mama wa kihindi
hana analofanya zaidi ya kula wakati mwingine hata kunyonyesha anabebewa na dada
kila baada ya 10dk analetewa chakula ukute kule kwa kina mangi balaa mama mkwe hataki aibu anakushindilia mtori
kijijini uji anajitengenezea mwenyewe
We Sema tu Ndo uliyefutuka, Manake mara unawaona mara miili asili mara dawa ya kusaidia, jinsi maelwzo yako yalivyopindapinda ynnifanya niamini we Ndo unaitaka mbinu hy
nini tatizo miss chagga..?
mi nadhani kunenepa ama kuongezeka kwa mwili hutegemeana na mwanamke mmoja kwenda mwingine.. si wote hupitia hapa..!
ama wewe waogopa uchungu wa kuleta mwana duniani?
Unaogopa nini miss?
sio wa mjini bali wakiafrika zaidi.....huoni wazungu wanaweza maintain miili yao hata wakizaa watotoahsante mkuu kwa maelezo ya kina!
kwanini lakini wanawake wa mjini ndio huathirika zaidi na hili?
japo mwanaume,naelewa kwa nini watu huogopa hii kitukubeba mimba
japo mwanaume,naelewa kwa nini watu huogopa hii kitu
kubeba mimba
Hahahaaa jamani pole..ila ni kati ya kipindi chenye furaha kwenye maisha ya mwanamke,..pale unapomsikia mtoto anacheza tumboni,then inakuja ile hatua ya mwisho kabisa labor pain ni kawaida tuu..kuhusu kunenepa ni swala tu la kujidhibiti.
mkuu nimeshindwa kukuelewa!
ni bora tu ungetoa ushauri kulingana na mada.. kuliko kuanza kutafuta muhusika! mimi ni Excel.. iam a man!!
tatizo nililolizungumzia lipo miongoni mwa wanawake katika jamii yetu, wala si sinema ya kutunga!!
btw, ahsante kwa gesture!