....Hunenepa sana baada ya kujifungua!

....Hunenepa sana baada ya kujifungua!

Haaa wewe unasema miezi saba,watu wanapatia uchungu shambani!...hivi ujue hata wakati huyu mama anavyokua ananenepa anaweza akaona ni kawaida ila anapokua ametoka ndo anapoona tofauti ya kabla ya kujifungua na baada..na kupunguza unenen inakua ni kazi nyingine!

kwa maoni yako Jawilat .. nini hasa kinachoplelekea kunenepa baada ya kujifungua?
 
Last edited by a moderator:
Noted with thanks mkuu!

Kaka nina dada yangu whom ni mkubwa kwangu kwa miaka almost mitatu whom kutokana na kutokuchaguliwa kwenda shule za serikali enzi hizo na familia yetu ikijishosheleza tu kwa mlo na kushindwa kumpeleka private aliishia tu kuwa house girl wa wenye maisha bora town alipong'aria shavu,thereinafter aliporudi kijijini akachukuliwa faster na then shemeji yangu!

Frankly iliniuma kidogo wakati huo lakini muda unaponya majeraha,leo hii dada yangu ana watoto wanne,ukiambiwa hata amezaa huwezi jua so far kwenye family aliyoolewa ni yeye pekee ana jukumu la kutunza wakwe zake,kutunza mji,kulea watoto,kutunza mifugo,kutunza shamba and likely!

Wenzake waliochaguliwa kwenda shule wakati wake waliishia form four/six na kuunga hapa na pale kwa hutu tukozi nyemelezi,wamepata mabwana wanaojua kuhudumia,wamezaa sana sana mtoto mmoja kisha kunenepeana utadhani mbuzi wa hitma,kutembea kwenyewe taabu,wakipanda vitz inaenda mwendo wa bata,kuhema juu juu utadhani uhai unataka kuwachomoka!

Yatosha kusema kwamba hawa wa kijijini kuna vitu wanakosa,exposure,umbea wa saluni na haya mazaga zaga ya Mc Donalds ila wana span ndefu kuliko hawa broilers! (samahani kwa vibonge) Huo ndio ukweli!

mkuu pole kwa hilo.. maisha ya shamba si mchezo!! wanawake wana purukushani nzito sana rafiki yangu! kuamka ni almost saa kumi usiku, kazi nzito sana wanafanya huku waume zao wakiwa wametulia tuli! kwa kawaida huchukuliwa kama labourers!.. ndio maana wale miili yao haiongezeki hata kidogo, mishe mishe ni nyingi, kutembea kwenyewe unaweza kukuta anatembea zaidi ya km 100 daily.

shamba kuna kazi kweli!
 
mkuu pole kwa hilo.. maisha ya shamba si mchezo!! wanawake wana purukushani nzito sana rafiki yangu! kuamka ni almost saa kumi usiku, kazi nzito sana wanafanya huku waume zao wakiwa wametulia tuli! kwa kawaida huchukuliwa kama labourers!.. ndio maana wale miili yao haiongezeki hata kidogo, mishe mishe ni nyingi, kutembea kwenyewe unaweza kukuta anatembea zaidi ya km 100 daily.

shamba kuna kazi kweli!

Kwa ruhusa yako niende nje kidogo ya topic...

Niliwahi kufikiri kwa kufanya utafiti usio rasmi sana kwamba hata performance ya elimu kwa watoto wa kienyeji vs hawa wa mjini ilikuwa tofauti sana na hata sasa ipo hivyo thou si kwa mlinganyo sahihi!

Binafsi naccount Div 2 ya mtoto wa kijijini kama one ya kukaribia single digit kwa kuwa shule zenyewe ni mo than 7 KM go and return,jua,mvua vyote vyake,shughuli za nyumbani zake,na wakati hawa wa mjini wakiwa tuition mwisho wa week/wakati wa likizo wa kijijini yuko out na ng'ombe/mbuzi!

Once wa kijiji akija kupata bahati ya kujoin University lazima amwache wa mjini maili 70 so far wakati wa mjini akiwa bizy na tablets na kubadilisha stutus kwenye tweeter/FB/Wasap wa kijiji ni madesa mwanzo mwisho,so kama ilivyo kwa wake wa mjini/wakijijini na aspects nyingine za maisha ziko hivyo!
 
We Sema tu Ndo uliyefutuka, Manake mara unawaona mara miili asili mara dawa ya kusaidia, jinsi maelwzo yako yalivyopindapinda ynnifanya niamini we Ndo unaitaka mbinu hy
 
Mkuu kijijini hakuna tofauti na kambi za kijeshi, mwanamke kajifungua leo,kumpet pet ni siku ile tu atakapotoka zahanati ya kijiji alikoenda kujifungulia, na msaada pekee atakaopata ni kusaidiwa kichanga hadi nyumbani...ni mwendo wa ngondi!

Chakula ni uji wa ulezi na ndizi za kuchoma zilizonakshiwa kwa mafuta yaliyopatikana kutokana na maziwa ya ng'ombe! Huku shughuli kibao zikimwandama ataachaje kuwa unaoita 'romantic'!

Mjini ukute mke mwenyewe ni hawa walotoka kwenye familia bora,kisha kapata kaexposure ka kwenye kideo kupia hizi chereko,hajui hata kushika ufagio,maid wa kumfulia hadi gagulo,na happen kampata mume ATM aliyekuwa anasaka mtoto kwa udi na uvumba ataachage kuwa boflo wakati hata kuwasha luninga ni kazi ya 'dada wa kunyumba?'

mkuu umenena kabisa
mwingine anaweka wasaidizi wiwili anaita ka mama wa kihindi
hana analofanya zaidi ya kula wakati mwingine hata kunyonyesha anabebewa na dada
kila baada ya 10dk analetewa chakula ukute kule kwa kina mangi balaa mama mkwe hataki aibu anakushindilia mtori
kijijini uji anajitengenezea mwenyewe
 
mkuu umenena kabisa
mwingine anaweka wasaidizi wiwili anaita ka mama wa kihindi
hana analofanya zaidi ya kula wakati mwingine hata kunyonyesha anabebewa na dada
kila baada ya 10dk analetewa chakula ukute kule kwa kina mangi balaa mama mkwe hataki aibu anakushindilia mtori
kijijini uji anajitengenezea mwenyewe[/QUTE

Note with thanks nyingi mkuu, u mmoja wa watu naowaheshimu sana!
 
Kama nilivyokwisha kuandika,hapo kikubwa ni aina ya vyakula vinavyoliwa namuda wa kupumzika(kukaa bila kushughulika)
kwa maoni yako Jawilat .. nini hasa kinachoplelekea kunenepa baada ya kujifungua?
 
Last edited by a moderator:
mkuu umenena kabisa
mwingine anaweka wasaidizi wiwili anaita ka mama wa kihindi
hana analofanya zaidi ya kula wakati mwingine hata kunyonyesha anabebewa na dada
kila baada ya 10dk analetewa chakula ukute kule kwa kina mangi balaa mama mkwe hataki aibu anakushindilia mtori
kijijini uji anajitengenezea mwenyewe


Mkuu mimi ni mtoto wa kienyeji,najua shida,na machungu ya life ya kijiji kabla sijapata kaexposeure uchwara ambacho hata hivyo nimeampa kutumia exposure hiyo kunufaisha familia yangu niliyoiweka rehani kipindi mama akijikamua kila 'peni' ili nifute umbumbumbu kidogo!

Sio kitu hata kama nisipomwita mama yangu ni mpendwa so far haiondoi wala kuongeza dhana kwamba ndiye aliyenizaa ila kwa namna ya kipekee nimshukuru Mwanamke huyu wa kipekee kwangu kwani leo kuna wanaoniita 'fulani' pasi kujua nisingefikia hapa bila huyu mama!

Daima nitamwombea kwa Mungu,na kwa kutambua siwezi kulipa mema aliyonifanyia nitawapenda sana wanawake kwa kuwaheshimu na kusimama upande wao kulinda heshima yao pale wanaume(wasiozaliwa na mwanamke) watakapoinuka juu ya mama/dada/shangazi/nyanya zangu hawa...Nawapenda sana!
 
We Sema tu Ndo uliyefutuka, Manake mara unawaona mara miili asili mara dawa ya kusaidia, jinsi maelwzo yako yalivyopindapinda ynnifanya niamini we Ndo unaitaka mbinu hy

mkuu nimeshindwa kukuelewa!

ni bora tu ungetoa ushauri kulingana na mada.. kuliko kuanza kutafuta muhusika! mimi ni Excel.. iam a man!!

tatizo nililolizungumzia lipo miongoni mwa wanawake katika jamii yetu, wala si sinema ya kutunga!!

btw, ahsante kwa gesture!
 
Last edited by a moderator:
nini tatizo miss chagga..?

mi nadhani kunenepa ama kuongezeka kwa mwili hutegemeana na mwanamke mmoja kwenda mwingine.. si wote hupitia hapa..!

ama wewe waogopa uchungu wa kuleta mwana duniani?

naogopa kuleta mwana duniani alafu nikanenepa sana na nilivyokibonge
 
ahsante mkuu kwa maelezo ya kina!

kwanini lakini wanawake wa mjini ndio huathirika zaidi na hili?
sio wa mjini bali wakiafrika zaidi.....huoni wazungu wanaweza maintain miili yao hata wakizaa watoto
 
Hahahaaa jamani pole..ila ni kati ya kipindi chenye furaha kwenye maisha ya mwanamke,..pale unapomsikia mtoto anacheza tumboni,then inakuja ile hatua ya mwisho kabisa labor pain ni kawaida tuu..kuhusu kunenepa ni swala tu la kujidhibiti.
kubeba mimba
 
Hahahaaa jamani pole..ila ni kati ya kipindi chenye furaha kwenye maisha ya mwanamke,..pale unapomsikia mtoto anacheza tumboni,then inakuja ile hatua ya mwisho kabisa labor pain ni kawaida tuu..kuhusu kunenepa ni swala tu la kujidhibiti.

mmh kumbe nitapenda kuona hiyo furaha
 
mkuu nimeshindwa kukuelewa!

ni bora tu ungetoa ushauri kulingana na mada.. kuliko kuanza kutafuta muhusika! mimi ni Excel.. iam a man!!

tatizo nililolizungumzia lipo miongoni mwa wanawake katika jamii yetu, wala si sinema ya kutunga!!

btw, ahsante kwa gesture!

Chakula kinaongezeka Wakati Wa ujauzito Ili kumakomodeti Na Mtoto, Kuna wanaoendelea Kula namna Hy Kwa kuwa wamezoea Na kuendelea kunenepa, wengine wanapunguza sana Kula Ili wapungue. hayo ni maelezo yaliyopatikana Toka Kwa baadhi ya nnaowafaham.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom