Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Habari zenu wakuu! Happy new year to you all!
Suala lililonileta kwenu hapa ni kutaka kufahamu juu ya hili!
Nimeshuhudia baadhi ya wanawake wakiwa wembamba na wakiwa na miili yao mizuri tu ambayo si minene!
Sasa cha ajabu ni pale wanapokuwa wameshajifungua..! Wengi wao hufutuka na kunenepeana sana! Yani yale maumbo yao ya asili yanapotea kabisa na hata mivuto nayo inatoweka pia!
Hii pia hupelekea matiti kuwa makubwa kupitiliza..
Sasa wadau, najiuliza sana, tatizo hapa ni nini? Kwanini mwili uongezeke tuuu baada ya kujifungua?
Je, kuna mbinu gani mbadala ambazo zinatakiwa kuzingatiwa ili kurudisha mwili katika hali ya kawaida na uendelee kuwa romantic?
Msaada wenu wadau!
Wenu.... Excel!
Suala lililonileta kwenu hapa ni kutaka kufahamu juu ya hili!
Nimeshuhudia baadhi ya wanawake wakiwa wembamba na wakiwa na miili yao mizuri tu ambayo si minene!
Sasa cha ajabu ni pale wanapokuwa wameshajifungua..! Wengi wao hufutuka na kunenepeana sana! Yani yale maumbo yao ya asili yanapotea kabisa na hata mivuto nayo inatoweka pia!
Hii pia hupelekea matiti kuwa makubwa kupitiliza..
Sasa wadau, najiuliza sana, tatizo hapa ni nini? Kwanini mwili uongezeke tuuu baada ya kujifungua?
Je, kuna mbinu gani mbadala ambazo zinatakiwa kuzingatiwa ili kurudisha mwili katika hali ya kawaida na uendelee kuwa romantic?
Msaada wenu wadau!
Wenu.... Excel!
Last edited by a moderator: