Denis Alphonce
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 625
- 856
oya unazingua una personaliz issuespunguza mipasho stick to your point buddy , mpk nmeshindwa soma essay yako
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
oya unazingua una personaliz issuespunguza mipasho stick to your point buddy , mpk nmeshindwa soma essay yako
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Na wale waarabu wa Uturuki wanaojifanya ati wazungu.Hungary ni kirusi hatari sana,natamani waichomoe NATO ili aende BRICS maana mguu mmoja upo huku mwingine kule.
hungury usimfananishe na wengine, hakuna mtengo wala nini pamoja na kuwa nato lakini hungary hata putin aende sasa hawawezi mfanya lolote hata aende pale pale UKHuo ni Mtego kwa Sisi Majasusi tumeshauelewa yani hapo kuna kamchezo Marekani anakacheza cha kumuaminisha Mrusi kuwa Hungary yupo upande wa Putin ingali hpo hpo Huyo Hungary ni Mwanachama Wa NATO.
Sasa hpo wanaweka mazingira ili urusi ione hungary ni safe place ila siku Putin Akitia tu mguu hpo Hungary Ndo kwisha yake kuna mawili yanaweza kumpata kam sio kuuwawa basi atakamatwa ila Mark my words huo ni Mtego wa mmarekani kwa Putin.,
Na naamin Putin Aidha ameshaushtukia au ataushtukia mbelen ila kwa navyoona Unawez kuta Hungary nd ikawa hatar zaid kwa Putin kukanyaga kulko hata Marekani penyewe.