+ nairobi fliesKenya [emoji1139] ni kama Somalia tu, ukame+nzige wa jangwani
Taarifa iwafikie KunyalandMkuu pole sana,kwa taarifa yako tu huku niliko debe la mahindi ni sh 8000 wakati huo debe la mtama na mpunga ni sh 5000 sasa hiyo njaa unayosema imetoka wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ya mwaka gani hiyo wewepole sana.
whenever you need help, you can always reach out to me.
Tanzania: Declare Shortage of Food, PM Tells Regional Authorities
https://allafrica.com/stories/201703020574.html
Ha ha.. Mnadanganya watu mnavyolima.. Lakini takwimu ni tofauti..Kumbe wakenya akili hamna eti, Unatuletea tatizo ambalo ndio linasibu nchi yenu, Tanzania Kuna chakula Cha kutosha mwaka huu na msituletee mastori ya kijinga, nyie endeleeni na jubilee yenu huko.
Na mwaka huu njaa itawamaliza, nzige wamefyeka mashamba yote[emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua Wafanyikazi wengi sa BBC ni wakenya lazima wafanye linalofaa kuvutia kamba kwaoWaKenya buaaana
Mnathubutu kuiweka Tz kwenye baa la njaaa hahahhh mnachekesha
Nyanda za Juu Kusini inalisha Tz sehemu kubwa na nje ya Tz
Tuna chakula Tunalima
WaKenya wavivu sana
Man mambo ninyi kha
Kama kwa BBCSwahili mmeandika Kenya ndio bora kwa Kiswahili kwenye msiba wa Proffesor Nani sijui
Muwe wa wakweli
Kiswahili bora ni Tz wengine wote mnajisogeza
Mnajivuna na Kidhungu bakieni nacho msijipe credit kwa Lugha ya Kiswahili
Kiswahili chenu kibovuuuuu
Takwimu za kwenye makaratasi mnazoandaa kujifariji lazima muweke zinazowafariji. Ndiyo maana huwa mnajidanganya nyie ni middle income state, wakati hali yenu Ni sawa na Burundi.Ha ha.. Mnadanganya watu mnavyolima.. Lakini takwimu ni tofauti..
Ha ha.. Ukulima mnaofanya ni ule wa peasant farming.. Iweje kenya inazalisha farm products kwenye sector nyingine kuliko Tanzania?? Ni zao gani ambalo mnaongoza Africa???Takwimu za kwenye makaratasi mnazoandaa kujifariji lazima muweke zinazowafariji. Ndiyo maana huwa mnajidanganya nyie ni middle income state, wakati hali yenu Ni sawa na Burundi.
Mna maisha magumu Sana nyie wagalatia.
Sent using Jamii Forums mobile app