Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

we mgumu sana kuelewa, nadhani ulichosema ni kweli kwamba ili uwe muislam ubongo wako wote unatakiwa kupakuliwa na kuwekwa hewa, hauna uwezo kufikiri na siwezi kupoteza muda kuendelea kujadili na mtu kama wewe.
Huna andiko zaidi ya kuropoka, siku nyingine usipinge andiko kwa porojo, mimi siwezi kujadili majina ya vitabu nataka andiko
 
Uislam umezaliwa miaka 500 baada ya Yesu Kristo kupaa, na ni miaka kama 3000 (afu tatu) tangu Yakobo afariki. yet, mtu asiyejua kusoma na kuandika anakuja kuwadanganya hawa viumbe kuwa Yakobo alikuwa muislam. kwahiyo alikuwa muislam kabla uislam haujaanzishwa hapa duniani? kwani uislam si umeanzishwa na mohamed? na mohamed si nabii wa uongo wa juzi tu hapa aliyekuja kuchambua Biblia aipindishe akasahau kutunza maneno ya akiba? hivi mna ubongo kweli?
😂😂😂😂Umeongea ukweli kabisa
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Utopolo wa watu wa dini bana. Hivi hao watu waliokuwepo kabla ya dini zenu kwanini mnawalazimisha wawe waumini wa dini zenu bila ridhaa zao? Mnahofia nini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nabii Yakubu (Jacob) alikuwa ni mtumishi wa Mungu aliyeishi kabla ya Uislamu, Ukristo, au Uyahudi kujitokeza kama dini zilivyo leo. Katika Uyahudi na Ukristo, anachukuliwa kama mmoja wa mababu wa taifa la Israeli. Katika Uislamu, Yakub anaheshimiwa kama nabii na mmoja wa mitume wa Mwenyezi Mungu, lakini Uislamu ulianzishwa na Mtume Muhammad karne nyingi baada ya maisha ya Yakub.

Kwa hiyo, ingawa Yakub anaheshimiwa katika Uislamu kama nabii, hakuwa "Mwislamu" kwa maana ya kufuata dini ya Kiislamu, bali alikuwa mfuasi wa Mungu Mmoja aliyehubiri ujumbe wa kumtii Mwenyezi Mungu, sawa na manabii wengine waliomtangulia Muhammad.
Uko sahihi sana. Watu wa dini wapumbavu sana kila kitu wanataka kulazimisha kiwe cha dini zao za mchongo.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Shidà utakayokumbana nayo ni kwamba unatumia kitabu au maandiko ambayo wao wenyewe hawayaamini kuwa ni maandiko ya Mungu.
Ni sawa na wao watumie maneno wanayoamini wao kukuaminisha wewe.
 
Kama unadhani huo ndio ushahidi uko na shida.
Mfano.
1.Nani anaamini kuwa aya hiyo inatoka kwa Mola?
2. Mpangilio wa unapoanza na Ibrahim unafuta mwanae nayefuata
Aidha useme Ibrahim , Is-aqa , Yakub au useme Ibrahim Ismail Yakub , japo Yakub sio mtoto wa Ismail. Aya imechakachuliwa hiyo
 
Kwani uislamu wa Yakobo unawahusu nini wakristo.
Wakristo maana yake ni wafuasi wake kristo na sio Yakobo. Au mi sijamuelewa mtoa mada
 
Ibrahim, Ismaili, Isihaka, Yakubu, Musa , Isa na Muhammad wote waliamini Mungu mmoja na walifundisha na kuamrisha watu waamini Mungu Mmoja naye anajulikana kama El, Eloah, Eloi, Elah, Allah kwa kwa lugha za semetic.
 
Yaan bado mna edit tu!!! Ulishawahi kuon Mkristo, akijaribu kupamabana kujifananisha na waislamu. Nyie mara Ohh Yesu alikuwa Muislamu, ohh Manabii wa zamani ni waislamu. Mnahangaika weeeee lakini wapi hamuwezi kubadilisha chochote. Muhamad wenu kachemsha na roho yake ya Mpinga Kristo.
 
Yaan bado mna edit tu!!! Ulishawahi kuon Mkristo, akijaribu kupamabana kujifananisha na waislamu. Nyie mara Ohh Yesu alikuwa Muislamu, ohh Manabii wa zamani ni waislamu. Mnahangaika weeeee lakini wapi hamuwezi kubadilisha chochote. Muhamad wenu kachemsha na roho yake ya Mpinga Kristo.
Kristo ni neno lunalotokana na neno la kigiriki χριστός (chrīstós) lenye maana ya kuwa mpakwa mafuta, asili ya neno ni Mesiah na ni kiibrania na kiarabu ni masih, hakuna muislamu mwenye kupinga kuwa Yesu siyo Mesiah, Masih au Kristos, bali wayahudi ndiyo ni wapingaji wakubwa kuwa hawaamini kuwa Yesu ndiye Mesiah, mpaka leo hii wanaamini kuwa Mesiah hajafika wanamsubiria.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Mungu hakuweka dini duniani aliweka ufalme chini ya Adamu.Baada ya Adamu kuanguka Akamtuma mwanae kumrejesha binadamu tena Akisema yeye ndiye njia,na kweli na uzima binadamu hatamwona Mungu ila kwa njia ya Yesu(yoh 14:6)
 
😂😂 Mbona mmnatikia kinyongeee pombe iitakuepo mnyaazi ndo kasemaa.inaonekana hao waamin kama hawaamin vile hlo somo
Pombe ni kinywaji kama una kampuni yako huwezi kuruhusu wafanyakazi wako wanywe kazini, lakini wakiwa makwao ni rukhsa, hivyo hapa duniani pombe si ruhusa kunywa lakini kwenye maisha ya milele pombe itapatikana tena ile yenyewe isiyoumiza kichwa, siyo gongo la jero.
 
Pombe ni kinywaji kama una kampuni yako huwezi kuruhusu wafanyakazi wako wanywe kazini, lakini wakiwa makwao ni rukhsa, hivyo hapa duniani pombe si ruhusa kunywa lakini kwenye maisha ya milele pombe itapatikana tena ile yenyewe isiyoumiza kichwa, siyo gongo la jero.
Spingan nawewe kabisa ila hao waamin nahsi walihitaj mtu kama wewe awafafanulie syo hyo anawaambia tu itakuepo. Ndomana kama walipata wasiwasii.insh mwitikio wa waamin
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Kiswahili ni Sura ya ng'ombe jike rangi ya manjao-Surah Al-Baqarah Ayat
 
Back
Top Bottom