Huree kuanzia kesho bia buku....

Huree kuanzia kesho bia buku....

Wameamua muwe walevi muondoe stress ili wafanye yao ,shabikieni tu ndivyo wanavyotaka ,..maskini MPE pombe asahau shida zake
 
Hiyo promotion ni tanzania nzima? Je ni SBL au TBL? Je ni kubwa au ndogo?
 
Mi pombe kali ndo zangu, bia hata iwe jero siipendi harufu yake afu nakojoakojoa sana ni usumbufu, ila kitu cha Valeur pale superior brandy kaglass ka kwanza ka pili, mambo freesh malizia na kamchemsho wee
Hahahhaa wewe jamaa utakuwa mtu wa kutoka mbeya au arusha ,,,kule hakuna mambo ya bia
 
Back
Top Bottom