Huree kuanzia kesho bia buku....

Huree kuanzia kesho bia buku....

Kwahiyo ukiwa na 20000, unapata kreti?
Kudadeki
Mkuu hakuna beer inayoshuka bei, recomended price za TBL ni kama unavyoziona.
Screenshot_20180731-232728_PDF%20Docs.jpg
 
Hahahhaha hapo ndio safi mkuu,, ukiwa na buku ten unakunywa unabakisha na ya bodaboda
Tatizo castle laga shingo nene baridi zikianza kupanda kichwani halafu unahela ya kutosha mfukoni, kutoa ofa si shida!

Hapa ndipo sipapendi!
 
Back
Top Bottom