Huruma imenijia ghafla wadau na wanasiasa wenzangu hasa makamanda kwenye jukwaa hili

Huruma imenijia ghafla wadau na wanasiasa wenzangu hasa makamanda kwenye jukwaa hili

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Hivi yule kiongozi wa BAWACHA Aliedai alitekwa, akateswa na kudhalilishwa huko kwenye misitu kibiti anaendeleaje kwasasa makamanda?

Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi apone haraka.

Nimewiwa kumjulia hali tu kwakweli, my friends, ladies and gentlemen šŸ’

Mungu ibariki Tanzania.
 
Makamanda wapo ngangari na wataendelea kupambana na upumbavu wote unaoletwa na Bibi wa kizimkazi pamoja na genge lake
 
Hivi yule kiongozi wa BAWACHA Aliedai alitekwa, akateswa na kudhalilishwa huko kwenye misitu kibiti anaendeleaje kwasasa makamanda?

Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi apone haraka.

Nimewiwa kumjulia hali tu kwakweli, my friends, ladies and gentlemen šŸ’

Mungu ibariki Tanzania.
Acheni Mungu aitwe Mungu. Yani sijui alitumia mbinu gani utaalam gani alipoiumba papuchi it is a state of art maamaee. Yani pale muumba alitulia.

A MASTERPIECE FROM THE MASTER HIMSELF.

SIRGODI MAAMAEE

Balthazar Ebang Engonga.

Nyau de adriz
 
Back
Top Bottom