Sasa mlitaka wauwawe?!Propaganda
Kagame ni muhuni sana anajifanya mjanja wakt ni mjjnga sna hao ni wakongo anaowalea yeye mwenyewe kawapa silaha wapigane walipoona moto mkali wakakimbia rwanda kujifanya wanaomba msaada na anapga picha kwamba anawasaidia ili kuficha mabaya yake ktk umoja wa mataifa aonekane yeye mwema jingasana hili jamaa leo wakongo wamechoma moto ofisi za ubalozi wa rwanda na magari yao yote kgme aache unafiki na ninavyoone mwisho wake umekaribiA.Wanajeshi wa Rwanda wanawahudumia wanajeshi wa Kongo wanaokimbilia Rwanda, ambao ni majeruhi wa vita. Jana, walipewa chakula, maji, na juisi. Licha ya yote, hawaonyeshi hasira wala kinyongo kwa kile ambacho serikali yao imewaambia.
Rwandan soldiers are treating Congolese soldiers fleeing to Rwanda, who were casualties of the war. Yesterday, they were provided with food, water, and juice. Despite everything, they show no anger or resentment toward what their government has said about them.
View attachment 3216496
Hapana, wanajifanya wema Ili Hali wao ndio chanzo cha hao askari kuwa hapo.Sasa mlitaka wauwawe?!
Rules of engagement zifuatwe, ikiwa ni pamoja na kutoa huduma za chakula kwa Askari waliojisalimisha.Hapana, wanajifanya wema Ili Hali wao ndio chanzo cha hao askari kuwa hapo.
Huenda hata mshahara hajapewa kwa miezi kadhaa.Askari kachokachoka hivyo? Kweli Congo hawapo serious.
Kagame yupo sanaKagame ni muhuni sana anajifanya mjanja wakt ni mjjnga sna hao ni wakongo anaowalea yeye mwenyewe kawapa silaha wapigane walipoona moto mkali wakakimbia rwanda kujifanya wanaomba msaada na anapga picha kwamba anawasaidia ili kuficha mabaya yake ktk umoja wa mataifa aonekane yeye mwema jingasana hili jamaa leo wakongo wamechoma moto ofisi za ubalozi wa rwanda na magari yao yote kgme aache unafiki na ninavyoone mwisho wake umekaribiA.
Jeshi la Drc limeundwa na waasi wa zamani waliokusanywa pamoja.jeshi la congo halina uniform halina bulletproofs, halina silaha za kutosha, utafikiri wana mgambo
Sifa za kuchukuliwa Jeshini Kongo ni lazima uwe mbakaji na mleviJeshi la Drc limeundwa na waasi wa zamani waliokusanywa pamoja.
Wanawajibu wa kufanya hivyo. Mara zote wanyarwanda walipopigana wenyewe kwa wenyewe majirani zao walipokea wakimbizi na kuwahifadhi.Wanajeshi wa Rwanda wanawahudumia wanajeshi wa Kongo wanaokimbilia Rwanda, ambao ni majeruhi wa vita. Jana, walipewa chakula, maji, na juisi. Licha ya yote, hawaonyeshi hasira wala kinyongo kwa kile ambacho serikali yao imewaambia.
Rwandan soldiers are treating Congolese soldiers fleeing to Rwanda, who were casualties of the war. Yesterday, they were provided with food, water, and juice. Despite everything, they show no anger or resentment toward what their government has said about them.
View attachment 3216496
Propaganda iliyojjaa ujinga, ushenzi na upumbavuWanajeshi wa Rwanda wanawahudumia wanajeshi wa Kongo wanaokimbilia Rwanda, ambao ni majeruhi wa vita. Jana, walipewa chakula, maji, na juisi. Licha ya yote, hawaonyeshi hasira wala kinyongo kwa kile ambacho serikali yao imewaambia.
Rwandan soldiers are treating Congolese soldiers fleeing to Rwanda, who were casualties of the war. Yesterday, they were provided with food, water, and juice. Despite everything, they show no anger or resentment toward what their government has said about them.
View attachment 3216496