Dreams , Knowledge, Hard Work , Perseverance.
Mungu ni Mungu , naye alisema, Mvivu na Mzembe ni rafiki wa umasikini ( kutokufanikiwa).
Mawazo yako mtoa mada, ndio yanakufanga kujipendekeza Kwa CCM kiasi mpaka Unamchukiza Mungu ukitegemea kupata kanafasi.
Kwa Sasa CCM ni Chaka la wajinga, wavivu ,wanaotumia janjajanja kuishi.
Binafsi nmethibitisha hapa Tanzania, na Duniani Kwa ujumla, mwanadamu yoyote mwenye Akili nzuri kabisa hawezi kufurahia ujinga na upuuzi na uozo na ufisadi, na upuuzi wa aina yoyote unaofanywa na VIONGOZI.