Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kemirembe Lwota, pamoja na Mnec, Mwita Gachuma, wamejeruhiwa baada ya Gari waliyokuwa wamepanda wakielekea Kumpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Steven Wasira, Eneo la Gesarya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, kuacha njia na kupinduka.
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtabi amethibitisha uwepo wa ajali hiyo na kudai hali za majeruhi zinaendelea vizuri.
Kituko wala sio ajali basi ni majibu ya watu mtandaoni huko, patience ya watanzania haswa kwa viongozi ni 0% kabsa.
Au sio?
Hatari sana
Mungu tusaidie sana!
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtabi amethibitisha uwepo wa ajali hiyo na kudai hali za majeruhi zinaendelea vizuri.
Kituko wala sio ajali basi ni majibu ya watu mtandaoni huko, patience ya watanzania haswa kwa viongozi ni 0% kabsa.
Au sio?
Hatari sana
Mungu tusaidie sana!