Huruma ya Watanzania kwa viongozi wao sasa hivi ni 0%

Huruma ya Watanzania kwa viongozi wao sasa hivi ni 0%

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kemirembe Lwota, pamoja na Mnec, Mwita Gachuma, wamejeruhiwa baada ya Gari waliyokuwa wamepanda wakielekea Kumpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Steven Wasira, Eneo la Gesarya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, kuacha njia na kupinduka.
1739213694404.jpg


Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtabi amethibitisha uwepo wa ajali hiyo na kudai hali za majeruhi zinaendelea vizuri.
Screenshot_20250210_215420_Lite.jpg

Kituko wala sio ajali basi ni majibu ya watu mtandaoni huko, patience ya watanzania haswa kwa viongozi ni 0% kabsa.
Screenshot_20250210_215337_Lite.jpg


Au sio?
Screenshot_20250210_215149_Lite.jpg


Hatari sana
Screenshot_20250210_215046_Lite.jpg


Mungu tusaidie sana!
 
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kemirembe Lwota, pamoja na Mnec, Mwita Gachuma, wamejeruhiwa baada ya Gari waliyokuwa wamepanda wakielekea Kumpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Steven Wasira, Eneo la Gesarya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, kuacha njia na kupinduka.
View attachment 3232586

Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtabi amethibitisha uwepo wa ajali hiyo na kudai hali za majeruhi zinaendelea vizuri.
View attachment 3232587
Kituko wala sio ajali basi ni majibu ya watu mtandaoni huko, patience ya watanzania haswa kwa viongozi ni 0% kabsa.
View attachment 3232588

Au sio?
View attachment 3232589

Hatari sana
View attachment 3232590

Mungu tusaidie sana!
We ni zero brain
 
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kemirembe Lwota, pamoja na Mnec, Mwita Gachuma, wamejeruhiwa baada ya Gari waliyokuwa wamepanda wakielekea Kumpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Steven Wasira, Eneo la Gesarya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, kuacha njia na kupinduka.
View attachment 3232586

Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtabi amethibitisha uwepo wa ajali hiyo na kudai hali za majeruhi zinaendelea vizuri.
View attachment 3232587
Kituko wala sio ajali basi ni majibu ya watu mtandaoni huko, patience ya watanzania haswa kwa viongozi ni 0% kabsa.
View attachment 3232588

Au sio?
View attachment 3232589

Hatari sana
View attachment 3232590

Mungu tusaidie sana!
Ndo tulipofkia
 
Back
Top Bottom