Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kwa hiyo na wewe unatamani wangekufa tu!Mijitu yenyewe mifisadi tu
Shenz kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo na wewe unatamani wangekufa tu!Mijitu yenyewe mifisadi tu
Shenz kabisa
Kwa nini mkuu wa wilaya anaenda kumpokea makamu mwenyekiti wa CCM?!
Hata mimi sijawahi kujua ni kwanini mkuu, ila ndio hivyo tu kwauchacheMkuu kwa nini kila mtu anayekufa huwa unamwita classmate?!
Dadeki 😃Dereva alikua nani? Mbona mzembe sana ktk kusaidia kazi ya izrael?
Siku nyingine alirushe korongoni. Aaaaah
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Wewe haukielewi chanzo cha chuki hizo kwelHii nchi sijui kwanini raia hawapendi vuongozi
Nielezee japo kwa ufupi,.Wewe haukielewi chanzo cha chuki hizo kwel
Unaweza kumpenda mwizi?Hii nchi sijui kwanini raia hawapendi vuongozi
Mkuu pima upepo wa utawala kwa awamu zote zilizopita.Nielezee japo kwa ufupi,.
Viongozi wanawapenda raia?Hii nchi sijui kwanini raia hawapendi vuongozi
Viongozi wenyewe hawapendi raia.Hii nchi sijui kwanini raia hawapendi vuongozi
Watawala wenyewe ndo wamesababisha hayo kwa kuonea wananchi kupitia wizi wa kura, ufisadi, utekaji, mauaji, ubambikiziaji kesi za uongo, nkHuruma ya Watanzania kwa viongozi wao sasa hivi ni 0%
Kweni yeye ndio Izraeli mwenyewe?Dereva alikua nani? Mbona mzembe sana ktk kusaidia kazi ya izrael?
Siku nyingine alirushe korongoni. Aaaaah
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app