Kwani viongozi wenyewe wanawapenda raia wao?Hii nchi sijui kwanini raia hawapendi vuongozi
We ni zero brainMkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kemirembe Lwota, pamoja na Mnec, Mwita Gachuma, wamejeruhiwa baada ya Gari waliyokuwa wamepanda wakielekea Kumpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Steven Wasira, Eneo la Gesarya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, kuacha njia na kupinduka.
View attachment 3232586
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtabi amethibitisha uwepo wa ajali hiyo na kudai hali za majeruhi zinaendelea vizuri.
View attachment 3232587
Kituko wala sio ajali basi ni majibu ya watu mtandaoni huko, patience ya watanzania haswa kwa viongozi ni 0% kabsa.
View attachment 3232588
Au sio?
View attachment 3232589
Hatari sana
View attachment 3232590
Mungu tusaidie sana!
Hapo ndio tatizo lilipoKwani viongozi wenyewe wanawapenda raia wao?
Ndo tulipofkiaMkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kemirembe Lwota, pamoja na Mnec, Mwita Gachuma, wamejeruhiwa baada ya Gari waliyokuwa wamepanda wakielekea Kumpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Steven Wasira, Eneo la Gesarya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, kuacha njia na kupinduka.
View attachment 3232586
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtabi amethibitisha uwepo wa ajali hiyo na kudai hali za majeruhi zinaendelea vizuri.
View attachment 3232587
Kituko wala sio ajali basi ni majibu ya watu mtandaoni huko, patience ya watanzania haswa kwa viongozi ni 0% kabsa.
View attachment 3232588
Au sio?
View attachment 3232589
Hatari sana
View attachment 3232590
Mungu tusaidie sana!
Hahahahaha...Duhhhh...
R.i.P Classmates...😥
Kwa muonekano wa hilo gari, ajali ilikua ni mbaya sana aiseee...🤨
Mkuu kwa nini kila mtu anayekufa huwa unamwita classmate?!Duhhhh...
R.i.P Classmates...😥
Kwa muonekano wa hilo gari, ajali ilikua ni mbaya sana aiseee...🤨