Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angewazidi akili asingekamatwa,Wamarekani wamechukia haswa wakijua mtu mweusi kawazidi akili kuna kipind walitaka kuban visa kwa wanaijeria
kawazidi akili janaa noma kawapiga sana unawajua wanaijeria unawasikia zile pyramid scheme kubwa ni waoAngewazidi akili asingekamatwa,
Hata humo gerezani wamemshtukia na ndio maana kafunguliwa mashtaka mengine mapya.
Nikiwa sijuwi wenzio wako wapi nafanya kosa moja unatoroka, unajiona mjanja kumbe ndio unakamatisha wenzako hivyo. Mwenye kuelewa na aelewe.
Mbona hata Bongo wafungwa wenye mtandao mzuri huwa wanaendelea na ma deal yao Kama kawa,na pesa inaingia kwa account zao moja kwa moja! Na ole wako eti umdhulumu kisa uko nje,mbona ugeni wake utakufikia tu!!Mtu anapigaje deal akiwa selo?[emoji23] Au ndio yale ya Chenge na genge lake wakifungwa hufungiwa VIP?
Wa West Wana mtandao mpana sana all over the world! Nakumbuka kipindi cha 419 mteja unachagua Nchi gani unayotaka kufanya biashara yako,na bado utaeelekezwa watu wa kuwaona na biashara itafanyika fresh tu!!Huyu ishakuwa hobby maana anapiga deal ya ela ambayo hatoitumia yuko selo [emoji1787][emoji1787] inaitwa things you do for love.
Wamarekani wamechukia haswa wakijua mtu mweusi kawazidi akili kuna kipind walitaka kuban visa kwa wanaijeria
Mi nimemkubali safi sana...acha wazungu waone si yanasemaga sisi ni brainless halafu ni manyani tunapenda kutomb..ana tu[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]
Witttttyyyyy[emoji23][emoji23][emoji23]Mi nimemkubali safi sana...acha wazungu waone si yanasemaga sisi ni brainless halafu ni manyani tunapenda kutomb..ana tu[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]
The nigga on missionHush a.k.a Agba
Aisee binti huoni noma hapo kutamka neno kutomb............ahahaaMi nimemkubali safi sana...acha wazungu waone si yanasemaga sisi ni brainless halafu ni manyani tunapenda kutomb..ana tu[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]