Hushpuppi ahukumiwa kifungo cha miaka 11 jela

Hushpuppi ahukumiwa kifungo cha miaka 11 jela

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1667570071225.png

Hatimaye hukumu ya mwizi nguli mitandaoni ambaye ni raia wa Nigeria, Ramon Abbas (39), maarufu Hushpuppi imesomwa jana Alhamisi, Novemba 3, 2022 na Jaji Otis Wright wa Mahakama ya Wilaya huko California ambapo Hushpuppi amehukumiwa kifungo cha miaka 11 gerezani.

Hata hivyo kwa kuwa tayari Hushpuppiameshakaa jela nchini Marekani kwa takribani miaka 2 tangu mwezi Juni mwaka 2020 baada ya kukamatwa huko Dubai na kisha kuhamishiwa Marekani, anatajwa kutumikia kifungo chake kwa miaka 9.

Sanjali na hilo, kurasa zake za mitandao ya Kijamii ikiwemo wa Instagram uliokuwa na followers zaidi ya Milioni 2.8 imefungwa.

SNS
 
Atakua jela lakini deal zake zitaendelea Kama kawaida, labda asipewe kabisa simu
 
  • Thanks
Reactions: Lee
View attachment 2406726
Hatimaye hukumu ya mwizi nguli mitandaoni ambaye ni raia wa Nigeria, Ramon Abbas (39), maarufu Hushpuppi imesomwa jana Alhamisi, Novemba 3, 2022 na Jaji Otis Wright wa Mahakama ya Wilaya huko California ambapo Hushpuppi amehukumiwa kifungo cha miaka 11 gerezani.

Hata hivyo kwa kuwa tayari Hushpuppiameshakaa jela nchini Marekani kwa takribani miaka 2 tangu mwezi Juni mwaka 2020 baada ya kukamatwa huko Dubai na kisha kuhamishiwa Marekani, anatajwa kutumikia kifungo chake kwa miaka 9.

Sanjali na hilo, kurasa zake za mitandao ya Kijamii ikiwemo wa Instagram uliokuwa na followers zaidi ya Milioni 2.8 imefungwa.

SNS
vipi kuhusu mali sasa ie assets na fedha?vipi wamemfilisi au akitoka jela anakuja kuzienjoy?
 
Tulisimuliwa Maisha yake ya wizi na utajiri alionao toka kwa Habib Hanga.Hutamani story ifike mwisho.Na Habib alikuwa akiandika habari zake kabla hata hajakamatwa.Was nice story
Link iko wapi mkuu?
 
Tulisimuliwa Maisha yake ya wizi na utajiri alionao toka kwa Habib Hanga.Hutamani story ifike mwisho.Na Habib alikuwa akiandika habari zake kabla hata hajakamatwa.Was nice story
Wapi hiyo story ipo?
 
vipi kuhusu mali sasa ie assets na fedha?vipi wamemfilisi au akitoka jela anakuja kuzienjoy?
Boss kwa US kukutia umaskini ndio kitu cha kwanza kabla hata hawajakufikisha mahakamani, mali zake na account zake zilitaifishwa na kufungwa kabla hata kesi haijaanza, mnyamwezi anapiga pale panapo kata miguu na kuuma the most kwanza, wanajua wakishakufilisi hata nguvu ya kupigana na kesi huna tena na uta make deal nao na kusema ukweli wako wote
 
Sikuona sabb ya kumfunga ila wangemtumia tu kama maswala mengine ya uchumi.
Uchumi gani huyo jamaa ataweza kujadili na wachumi wabobezi? Yeye alikua anapiga matukio ya wizi hapo itakua washamhoji ameongea yote jinsi alivyokua anaiba kimtandao lengo lao kujiongezea ulinzi wasije wakaibiwa tena kwa style hiyo.
 
Tulisimuliwa Maisha yake ya wizi na utajiri alionao toka kwa Habib Hanga.Hutamani story ifike mwisho.Na Habib alikuwa akiandika habari zake kabla hata hajakamatwa.Was nice story
Tuwekee Uzi wa Habibu hapa
 
Boss kwa US kukutia umaskini ndio kitu cha kwanza kabla hata hawajakufikisha mahakamani, mali zake na account zake zilitaifishwa na kufungwa kabla hata kesi haijaanza, mnyamwezi anapiga pale panapo kata miguu na kuuma the most kwanza, wanajua wakishakufilisi hata nguvu ya kupigana na kesi huna tena na uta make deal nao na kusema ukweli wako wote
dah aisee ni balaaa
 
View attachment 2406726
Hatimaye hukumu ya mwizi nguli mitandaoni ambaye ni raia wa Nigeria, Ramon Abbas (39), maarufu Hushpuppi imesomwa jana Alhamisi, Novemba 3, 2022 na Jaji Otis Wright wa Mahakama ya Wilaya huko California ambapo Hushpuppi amehukumiwa kifungo cha miaka 11 gerezani.

Hata hivyo kwa kuwa tayari Hushpuppiameshakaa jela nchini Marekani kwa takribani miaka 2 tangu mwezi Juni mwaka 2020 baada ya kukamatwa huko Dubai na kisha kuhamishiwa Marekani, anatajwa kutumikia kifungo chake kwa miaka 9.

Sanjali na hilo, kurasa zake za mitandao ya Kijamii ikiwemo wa Instagram uliokuwa na followers zaidi ya Milioni 2.8 imefungwa.

SNS
vipi zile pesa ambazo alikuwa anamiliki mwanzo
 
Back
Top Bottom