Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,758
- 26,885
@Habibu B. AngaTuwekee Uzi wa Habibu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@Habibu B. AngaTuwekee Uzi wa Habibu hapa
Ni tapeli na sio kwamba he is a skilled hacker/business man.Sikuona sabb ya kumfunga ila wangemtumia tu kama maswala mengine ya uchumi.
Hivi Habib aliendaga wapi jamani?Tulisimuliwa Maisha yake ya wizi na utajiri alionao toka kwa Habib Hanga.Hutamani story ifike mwisho.Na Habib alikuwa akiandika habari zake kabla hata hajakamatwa.Was nice story
Mkuu tupiako basi iyo linki ya the boldTulisimuliwa Maisha yake ya wizi na utajiri alionao toka kwa Habib Hanga.Hutamani story ifike mwisho.Na Habib alikuwa akiandika habari zake kabla hata hajakamatwa.Was nice story
Cc NifahHivi Habib aliendaga wapi jamani?
Unaweza bypass firewall yao ila hitaweza jua jinsi wanavyoendesha shughuli zao hadi release kutokea...Hadi GUCCI walikuwa wanamtumia barua za mialiko na pongezi
Huyu mjinga aliweza kuwatia hasara vilivyo
Ningekuwa na uwezo wa ku bypass firewall ya pale BOT au account ya Mwigulu mbona wangeicheki show
Mpeba wa wapi??Jamaa Alinunuaga uraia wa kisiwa cha St Kitts and Nevis kule wazazI wake Rashfor walipitokea. Halafu wapemba wanadai Marcus Rashford ni mpeba
Kujionyesha kwake kwenye social media kwamba ni mtu mambo safi ilikua ni njia mojawapo ya kuwajengea imani walengwa wakeJamaa bwege tu na yeye yaani unajijua we mwizi halafu una ji expose kwenye social network kenge kweli.