Husna Mwambiko wa UVCCM aliyegombea Ubunge asema anaamini hajarogwa ila amepata ajali ya kisiasa


Kigugumizi cha husna na huo uchawi umehusianaje na hiyo "2020 hakunaga kama magufuli"?
 
Ni ajali gani inayosubiri sehemu zote za kujieleza unajieleza vizuri,unapofika hatua ya kuomba kura ndio inatokea?.
hao ndio "wagonga meza bungeni".

Huyu amewakilisha wabunge wengi wa CCM, jiulize Pisi kama huyo ndio anaomba miongozo Mdee akiwa anaongea na kumzomea.
 
Kuna jamaa mmoja ni mwalimu alienda kugombea ubunge sijui udiwani kwa tiketi ya ccm, anasema alikuwa akipanda kukwaani ili asalimie wajumbe na kuomba, sauti inakata, anaishia kunyoosha mikono tu, ilibidi aende kwenye maombi maana yeye hakuwa mtu wa kwenda kwa waganga, huyo dada kaua soo tu lakini hayo ni mambo ya kawaida huko, unafikiri mpaka ndungai kupiga mtu alipenda.
 
Huyo dada ndio kawe alumin
 
hajui maana ya ajali ya kisiasa huyo,
ila asijali sana Dr.Bashiru amemuona atampa kazi ya personal secretary wa kwenye ziara zake.
 
Maskini dada wa watu alitandikwa kipapai.. Ila maadam keshaonekana, anaweza akakumbukwa kwenye teuzi nyingine huko mbele ya safari.
 
Yaani umefanya vizuri kuleta uchawi wenu ,yaani nyinyi CCM hata aibu hamna ?mungu wenu mwenye Nyamrunda hamjakimbiza mwaka huu mmekiuka masharti kazi kuabudu mavitu ya ajabuajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…