King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Aise Huyu mama anamafanikio sana na inasemekana ndio tajiri namba moja katika tasnia ya filamu
Utajiri wake:
1.Ana Nyumba Tano za Kifahali dar-es-salaam(Nyingine ni ghorofa mbili,nyingine moja)
2.Ana magari ya kifahali matano(Jaguar,Prado,Range Lover Vogue,Benz na Hummer)
3.Ana kampuni ya Cartering ambayo inafanya kazi sehemu nyingi sana na inamuingizia kipato cha juu
4.Anacheza film na pia anauza film
Range Rover Vogue:

Prado:

Nawasilisha.
Utajiri wake:
1.Ana Nyumba Tano za Kifahali dar-es-salaam(Nyingine ni ghorofa mbili,nyingine moja)
2.Ana magari ya kifahali matano(Jaguar,Prado,Range Lover Vogue,Benz na Hummer)
3.Ana kampuni ya Cartering ambayo inafanya kazi sehemu nyingi sana na inamuingizia kipato cha juu
4.Anacheza film na pia anauza film
Range Rover Vogue:

Prado:

Nawasilisha.