Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wenye magari na majumba wenzaoWaache kutudharau maskini.... Leo ndo tunawapa pole sasaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wenye magari na majumba wenzaoWaache kutudharau maskini.... Leo ndo tunawapa pole sasaaa
Jamani dada yangu, nimechapia hapo kwenye hiyo hata huniambiii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaaa. Ngoja nimuite aisee aje ajibu tuhuma. Sa sijui alipeleka CV zake. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na kazi aliomba pia cc mgagaa na upwa uje huku
Uko wapi niende hukooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi dada wewe au mm unaweza fanya zile mambo ujue hawa nao hawajiongezi na watu anaowafanyia interview kama leo tumechambwa kwenye uzi mmoja wa interview najua umekukosa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanasoma huku machozi yamejaa machoniii
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Jamani
Makubwa haya
Kazi ipo
Ndo nimechoka kabis
Mmmh
.
Hapa ndo nimechoka kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaaaa. Ngoja nimuite aisee aje ajibu tuhuma. Sa sijui alipeleka CV zake. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
2020 zitakuwa zimeshafika za kuchanga [emoji1]Shoga hujachoka kushika bomba la mwendo kasi jitahidi bwana tununue hat kagar na sie
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Jamani dada yangu, nimechapia hapo kwenye hiyo hata huniambiii
Jamaan aliyeelewa aniambie jaman sakayo, ukhuty, emmyta na muosha runguKuna dada flani alikuwa na I'd mbili anajifanya dume,watu wakamsanukia sasa hivi anatumia hiyo ya Mbitsya sijui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jioneeni jamani kabadili mpk lafudhhamna kama Husna_TheBossLady
yap. bila makeup...nikiweka makeup utavunja bank bila kuuliza swali la kijinga kama hilo.
bado hajaconfirm licha ya kunisumbua sana PM hadi nikamblock whatsapp...japo namfeel, actually haishi Tanzania, @reddevial ni Lecturer kwa madiba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawaita hadi waje sichoki
Kama nimeelewa hivi dada. [emoji85] [emoji85] [emoji85]Jamaan aliyeelewa aniambie jaman sakayo, ukhuty, emmyta na muosha rungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na kazi aliomba pia cc mgagaa na upwa uje huku
Kwa kweli tuchange tu sio kwa vishindo hivyo vya boss lady2020 zitakuwa zimeshafika za kuchanga [emoji1]
Daaaahhhh.Ni kwamba Mrembo sorry bwana husnaThebosslady Jana usiku alikuwa akiwatukana joseverest Na mm
Alisema jose ndie smart911 yule Wa mahondaw Na akasema yupo tayari kumpa papuchi jose kama atataka werevaa
Pia akadai muosha rungu ndiye shunie!
Basi huo Uzi ukaendelea hadi saa moja hivi asubuhi
Mara paap ikajulikana erick otieno ndiye husna Na zote ni id zake
Mods wameunganisha ids zake Na kuwa erick otieno pia kapigwa ban
Ndiyo maana unaona humu posts za husna zinasoma erick etieno!
DJ sepetu
Makubwa.... Sielewiii ujueJamaan aliyeelewa aniambie jaman sakayo, ukhuty, emmyta na muosha rungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada jf sitoki wala sibadili idBoss bhanaa.... Zile cv za waomba kazi ya udalali wa kitanda veepe