Nakuremove muda si mrefu[emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Linamo niache kwanza bana
Hivi wewe siyo mmoja wao kweli[emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Namtoa wallah
Basii nimekomaaaaNakuremove muda si mrefu[emoji23] [emoji23]
Ukiendelea lazima nikuremove aiseeeBasii nimekomaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanawake wapo wengi tu ila ukiona id inajichetua kuliko kawaida huyo ni me.Kuna kitu nimejifunza kwa Eric Otieno
1). Humu wanawake hatuzidi watatu
2) . Most of people here na choka mbaya, japo pia kuna wasomi ila ndo chapa ilale, hakuna kitu ptuuuuu!
3). Wanaume wengi wa Jf wamelizwa visenti vyao na machoko/ mabwabwa wakidhani ni wadada..
Mwisho wanaume mna siri nzito vifuani mwenu na mnakutana na mambo mazito mnoo ( siwezi kuyasema hadharani)
Kwaherini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora nimzimikie ninaye muona live kuliko kuzimikia ID fakeHivi wewe siyo mmoja wao kweli[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Jamani nitakosa ubuyu ujueNamtoa wallah
Hahaaaaaaaa nitaenda usomaBora nimzimikie ninaye muona live kuliko kuzimikia ID fake
Nilipomaliza kuandika huu uzi
Wakati naupigia promo, mara paaaap dada yangu emmyta kafunguka kuhusu bosslady
Sawa, karibu sana kwenye uzi wanguHahaaaaaaaa nitaenda usoma
Mara Paaap PrincessAnne ndio@Joseverest Aaah! natania tuNilisemaga mimi huyu tangu anathread ya kukaribishwa humu sio mwanamke ni dume.. haya sasa kaumbuka
Yaaan mwanaume ni kiumbe wa ajabu mnoo!Yani wanaume wengi humu mmelizwa sana maana si kwa interview ile japo hamuwezi kusema lakini kawanyoosha
Jf kila mtu ana Gari nzuri ( hakuna Mwenye spacio[emoji23] [emoji23] ), Nyumba Kali, mabiashara ya maana!Wanawake wapo wengi tu ila ukiona id inajichetua kuliko kawaida huyo ni me.
....Wengi ni choka mbaya humu ila kwa kificho cha id zao wanajikweza kujiona wapo juu wakati mwingine kuzihaki wengine.
......Wanaume ni wachache sana ila wavulana ni wengiiiiii na ndio wafanyafujo, watukanaji na washenzi walioshindikana.
Yani katika viumbe wa ajabu wa kwanza ni mwanaume[emoji28] [emoji28] [emoji28]Yaaan mwanaume ni kiumbe wa ajabu mnoo!
Anatongoza mwandiko[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
NishaendaSawa, karibu sana kwenye uzi wangu
Halafu hawajifunzi sasa!Yani katika viumbe wa ajabu wa kwanza ni mwanaume[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Anatongoza na kuhonga ID na picha za mitandaoni huwa hawajiulizi yani mtu serious anaweza weka picha zake humu[emoji23] [emoji23]
Acha wapambane na hali zao maana wameyataka
Halafu walivyoona anajinadi ana hela wakajua mteremko nawapa pole[emoji28] [emoji28]