HusnaThebosslady live on muosha rungu TV show!

HusnaThebosslady live on muosha rungu TV show!

Status
Not open for further replies.
Jf kila mtu ana Gari nzuri ( hakuna Mwenye spacio[emoji23] [emoji23] ), Nyumba Kali, mabiashara ya maana!

Wote wameenda ulaya eidha kusafiri kibiashara au kutembea!

Mtu unaeza jiona una nuksi!...yaaaani!



Sent using Jamii Forums mobile app
Yani huyu alitutia unyonge wengi sana. Yaani kumbe anauza kitanda cha fundi juma
 
Jf kila mtu ana Gari nzuri ( hakuna Mwenye spacio[emoji23] [emoji23] ), Nyumba Kali, mabiashara ya maana!

Wote wameenda ulaya eidha kusafiri kibiashara au kutembea!

Mtu unaeza jiona una nuksi!...yaaaani!



Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28] [emoji28] [emoji28] kumbe mlugaruha tu
Kuna mmoja humu fundigarage ana matusiiii
Mwingine mfuga kuku ila mashauzi yake ni hatari
Halafu hawajui tu watu wanaoishi maisha ya kuigiza huwa hawafanikiwi
 
Jf kila mtu ana Gari nzuri ( hakuna Mwenye spacio[emoji23] [emoji23] ), Nyumba Kali, mabiashara ya maana!

Wote wameenda ulaya eidha kusafiri kibiashara au kutembea!

Mtu unaeza jiona una nuksi!...yaaaani!



Sent using Jamii Forums mobile app
Kasoro mm tu ujue sina hivyo [emoji1] nahisi nipo mwenyewe nataka nichange na ukhuty wangu mwaka 2020 tununue la kwetu
 
Yani katika viumbe wa ajabu wa kwanza ni mwanaume[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Anatongoza na kuhonga ID na picha za mitandaoni huwa hawajiulizi yani mtu serious anaweza weka picha zake humu[emoji23] [emoji23]
Acha wapambane na hali zao maana wameyataka
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Kuna kitu nimejifunza kwa Eric Otieno

1). Humu wanawake hatuzidi watatu

2) . Most of the people here na choka mbaya, japo pia kuna wasomi ila ndo chapa ilale, hakuna kitu ptuuuuu!

3). Wanaume wengi wa Jf wamelizwa visenti vyao na machoko/ mabwabwa wakidhani ni wadada..

Mwisho wanaume mna siri nzito vifuani mwenu na mnakutana na mambo mazito mnoo ( siwezi kuyasema hadharani)

Kwaherini.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jf kila mtu ana Gari nzuri ( hakuna Mwenye spacio[emoji23] [emoji23] ), Nyumba Kali, mabiashara ya maana!

Wote wameenda ulaya eidha kusafiri kibiashara au kutembea!

Mtu unaeza jiona una nuksi!...yaaaani!



Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha bila kunisahau mim similiki hata baiskel msaka tonge mwenzangu njoo cc shunie [emoji53][emoji53]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom