Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kwa hisani ya Marekani sasa uwe mmoja wa kunisaidia kutafuta maana nazunguka kama pia hapa halafu sioni wa kufaa
Haya mambo hutumiii nguvu bana... taraaaatibu... warembo wooote hawa JF??
wengine ooh am btn 25 and 30 natafuta mchumba...lol... naona uanzie love connect...
Niandike kile cha "Am handsome meeen" nitafanikiwa au nitapewa za uso
ha ha ha .... Ukifanya hivyo... hints hizi hapa....
https://www.jamiiforums.com/love-connect/138719-natafuta-mchumba-wa-kuolewa-kuoa.html
Ila nilikua na maana kuanza kumendea wanaojitangaza....lol
ha ha ha .... Ukifanya hivyo... hints hizi hapa....
https://www.jamiiforums.com/love-connect/138719-natafuta-mchumba-wa-kuolewa-kuoa.html
Ila nilikua na maana kuanza kumendea wanaojitangaza....lol
Ohhhhh nimekupata
Hizo za uso sizitaki bana bora nitumie usaint kayumba wangu nitumie lugha tuu ya taifa watanielewa na kuwa ni standard seven ya zamani so nikiboronga hata kiswahili na kuwaambia nakupenda hata silali usiku nakuota watanielewa
bora umempa hints love najua wewe sio mchoyo wa elimu kuanzia mamisosi hadi kwenye tips za 'love connect'
hahah hvi yulwkijana alikuwa annajinadi wa UDOM, kaishia wapi aisee lol
usiende ivo bana utaleta shida sana hapa
No usitumie vigezo lugha... ukikutana na mwanamke anataka kuongea nawewe
kiingereza hali umemsalimia kwa kiswahili... jipange mrudishe kwenye kiswahili kwa
kumwambia sio kwamba hujui kiingereza but unathamini lugha yenu...
Mbona mimi na Sweetie tumetoka dates kama mbili woote tusijue tunajua ung'eng'e...lol
Wacha ifuate mkondo nimesema fanya taratibu... no papara...
bora umempa hints love najua wewe sio mchoyo wa elimu kuanzia mamisosi hadi kwenye tips za 'love connect'
Ok ok sweet honey oooooppsss sorry
taratibu naanza kutangaza sera mwenye kuhitaji ajitokeze nafasi iko wazi
Ndo umjue the one and only AshaDii Rocky ohooo
iyo kweli,kuepusha ilo,mm niko dom kama vipi fanyampango niku PM then uyojamaa akifika nampokea mm,alafu namsogeza kwako kulingana na character utakozo itajiKaribu sana, ila naomba kujua jinsia yako...mmmh!
Nahisi wewe ni kidume.. Uangalie lakini isije ikawa mimi mwanao. Maana jf bwana. Unaweza ukashangaa baba na mwana wanachati tena darling, hny mpenz kwa wingi. Lol!
hahaha itakuwa unasoma kama mtoto wa darasa la kwanza...na hapo usiniangushe kwa elimu yako u have to be better lol