Hussein Bashe amechoka Uwaziri na kuamua kumchafua Rais Samia kwa Watanzania?

Amekikosea kiti cha Uwaziri na kukishushia heshima pamoja na kumchonganisha Mheshimiwa Rais na Wananchi
 
Na bado.
 
serikali haitapeleka huduma za mbolea ,mbegu na hata wanunuzi katika jimbo la kisesa kwa makosa ya mbunge wao ambaye alisema kuwa serikali hupeleka vitu feki hadi wanunuzi wa bei ndogo.
Mpina ndiye anaamnika zaidi kuliko longo longo zenu
 
Kwa kifupi watu jawamuigopi namba 1. Kila.mtu anaongea na anafanya anavyotaka
 
Jiwe
 
Vita vya sukari bado inaendelea?
 
Wabomelee wale, usiwabomolee wale walinipigia kura
 
Ndugu yangu hiyo simu ni yako kweli πŸ˜ƒ
 
Huwezi kulisha watoto wa jirani kabla wa kwako hawajashiba-Jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…