Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #61
NdioLeo hili jambo limekugusa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioLeo hili jambo limekugusa?
Siyo kweli na wala yeye siyo msemaji wa serikali.Yeye ameleta maamuzi ya Baraza la Mawaziri ambalo Mwenyekiti wake ni Rais Samia.
Ni majingaIla ma ccm bana. Mungu huwa fundi sana ni basi tu binadamu tumeumbwa kusahau, hivi sio nyie enzi ya jiwe ndio mlikuwa mnafurahia jamaa alipokuwa hapeleki maendeleo kwenye majimbo yenye wabunge wapinzani? Hayo machozi unayobunujikwa sasa hivi mbona hukububujikwa kiwahurumia watanzania wale walionyimwa haki zao sababu ya ujinga wa itikadi?
Niropoke nini ndugu yangu.Wewe mwenyewe kuna siku utaropoka tuu...
Tulishawaambia.. maovu yenu mtayasema wenyewe na mtajishangaa wenyewe.
Hamfai kwa lolote.
Hakuna jimbo ambalo halikupelekwa maendeleo ndugu yangu mtanzania.hata pesa za mfuko wa jimbo wabunge wa upinzani walipewa vizuri kabisa bila ubaguzi.Ila ma ccm bana. Mungu huwa fundi sana ni basi tu binadamu tumeumbwa kusahau, hivi sio nyie enzi ya jiwe ndio mlikuwa mnafurahia jamaa alipokuwa hapeleki maendeleo kwenye majimbo yenye wabunge wapinzani? Hayo machozi unayobunujikwa sasa hivi mbona hukububujikwa kiwahurumia watanzania wale walionyimwa haki zao sababu ya ujinga wa itikadi?
😅😅😅😅😅😅🤗🤗🤗🤗Relax, endelea kusifia.Ndugu zangu Watanzania,
Nimesikitika sana, kusononeka sana,kushangazwa sana,kuumia sana ,kutoamini macho na masikio yangu kwa kile nilichokiona na kusikia maneno na kauli za waziri wa kilimo Mheshimiwa Hussein Bashe. Maneno ya Mheshimiwa Waziri yakisema kuwa serikali haitapeleka huduma za Dawa,mbegu na hata wanunuzi katika jimbo la kisesa kwa makosa ya mbunge wao ambaye alisema kuwa serikali hupeleka vitu feki hadi wanunuzi wa bei ndogo.
Nimejiuliza hivi Mheshimiwa waziri anaweza vipi kutamka maneno ya namna hiyo hadharani? Ndio uongozi huo? Nani kampa jeuri hiyo? Nani kamuagiza kutamka maneno hayo? Nani kamfundisha kuwa ndio serikali inavyofanya mambo yake hivyo? Vipi siku mbunge akisimama Bungeni na kusema kuwa serikali imepeleka Dawa za binadamu feki na wahudumu wasio na sifa jimboni kwake? Je, atatoa amri kuwa jimbo hilo lisipewe hata kidonge kimoja na kuwataka wahudumu waache kutoa huduma? Je Wagonjwa wangapi watakufa kwa kukosa dawa? Wagonjwa wangapi watafia wodini na milangoni kwa kushindwa kupokelewa na kupewa huduma? Kosa litakuwa la nani?
Vipi siku mbunge akisimama bungeni akasema kuwa jimboni kwake walimu hawafundishi vizuri na wanashinda wanaendesha bodaboda na wakike wanashinda wanauza vitambaa mitaani? Je waziri atafunga shule na kuondoa walimu wote jimbo hilo? Vipi mwingine mbunge akitokea akasema polisi wa jimboni kwake wanaonea Wananchi? Je waziri atafunga vituo vyote vya polisi na kuondoa askari wote katika jimbo hilo?
Hivi hiyo itakuwa ni serikali ya aina gani? Nani ataielewa? Nani ataiunga mkono? Nani atafurahishwa na maamuzi hayo? Nani ataelewa umakini wa serikali hiyo? Hivi maamuzi kama hayo ya Mheshimiwa Hussein Bashe ndio uongozi huo? Kwanini hajakwenda kufanyia kazi na kufanya uchunguzi wa tuhuma na malalamiko ya Mbunge na kisha kuja kupinga hadharani na kuwatoa hofu wananchi wake?
Je mbunge wa kisesa alichaguliwa na wananchi wote? Vipi wale ambao hawakumchagua na hawamuungi mkono na wala hawakubaliani na kauli zake? Wao unawasaidiaje? Je huduma kwa wananchi walipa kodi ni wajibu wa serikali au hisani? Ni takwa la kisheria au ni maamuzi ya waziri na hisia zake na maelewano yake na mbunge wa jimbo husika?
Halafu inakuwaje Mheshimiwa waziri aseme kwa kiburi kabisa kuwa AMEAMUA na kama mbaya na iwe mbaya.je yeye ni Rais? Amepoka madaraka ya Rais? Anapata wapi kiburi na majivuno ya kutamka kauli hiyo ambayo haiwezi kutamkwa hata na makamu wa Rais wala waziri Mkuu wala naibu waziri Mkuu? Kwa hiyo anaposema yeye ameamua anamaanisha kuwa yeye ndio alfu na omega na mwenye kauli ya Mwisho?yeye ndio Mkuu wa Nchi? Ndio Amiri Jeshi Mkuu wetu?
Kwanini anamshusha na kumvunjia heshima Mheshimiwa Rais na kuonekana kana kwamba siyo kitu? Kwanini anamchafua na kumdharau Mheshimiwa Rais na kuonekana kama hana uwezo wala nguvu ya kumfanya chochote kile na kwamba pasipo yeye haiwezekani mambo yakaenda? Hivi Mheshimiwa amejikwaa ulimi au ameteleza? Alidhamiria kusema hivyo au ni kujisahau?
Kwanini kiongozi ngazi ya Uwaziri ujidhalilishe na kuidhalilisha serikali na mamlaka ya uteuzi kiasi hicho? Nini kipo nyuma ya pazia ya kauli ya Mheshimiwa Waziri? Kwanini waziri ushindwe kudhibiti hisia zako? Kwanini ushindwe kuchunga ulimi wako? Kwanini ushindwe kutumia Busara,hekima na kuwa mtulivu uzungumzapo? Je hiyo ni kauli ya serikali nzima?
Halafu inakuwaje Mh Waziri aseme kuwa atakwenda kuwauliza wananchi wa kisesa kama wanamtuma mbunge wao kuzungumza azungumzayo? Je kwanini asingekwendwa kuzungumza kwanza na wananchi kabla ya kutoa maneno na kauli yake ambayo haikubaliki bila kujali itikadi za kisiasa? Na vipi kama wangesema kuwa wanaunga mkono kauli za mbunge wao? Je waziri angewanyima huduma au angepaswa kufanya uchunguzi wa madai na malalamiko ya Wananchi?
Napingana katika mambo mengi na Mheshimiwa Luhaga Mpina. Lakini pia nilikuwa namuunga mkono Mheshimiwa waziri katika mambo mengi Tangia akiwa mbunge mpaka waziri na hata hapa nimewahi kuandika kumpongeza ,lakini katika hili sikubaliani naye hata kidogo.
Mwisho mbona wabunge wa upinzani walikuwa kwa miaka yote wanapinga kila bajeti ya serikali inayopelekwa bungeni na ya kila wizara na bado wakawa wanapelekewa miradi mbalimbali ya maendeleo majimboni kwao na kupewa pesa za mfuko wa jimbo?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ukitaka mambo ya kilimo yaende vizuri mpe Msomali wizaraHuyo Msomali anataka kuigeuza nchi Kama huko alikotoka.
Kwahiyo kila atayepishana nae kauli basi hapeleki huduma kisa yeye Waziri.
Ndio matatizo ya hizi nchi changa mtu akipata nafsi basi anaigeuza mali yake binafsi na ya familia.
Bado hatujafanikiwa kutenganisha majukumu yetu na mambo au hisia binafsi.
Ni kweli,kuwauzia na kuwapa raslimali bureKwa sasa Afrika ingekuwa ni Nchi moja, basi mtu pekee Mwenye uwezo wa kuifanya Afrika ikawa kama ulaya na kuwafanya wazungu kuja kuomba kazi na kutafuta maisha barani Afrika angekuwa ni Mmoja tu Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka ,jasiri muongoza njia na nuru ya wanyonge.kwa hakika maendeleo ya Bara la Afrika yangepaa kwa kasi kama ndege vita .kama ilivyo kwa sasa hapa nchni ambapo tunashuhudia miradi mbalimbali ya maendeleo ikijengwa kila sehemu.
Kwa mara ya kwanza naomba nikupongeze kwa kuandika na kujenga hoja kwa uweledi wa hali ya juu.Ndugu zangu Watanzania,
Nimesikitika sana, kusononeka sana,kushangazwa sana,kuumia sana ,kutoamini macho na masikio yangu kwa kile nilichokiona na kusikia maneno na kauli za waziri wa kilimo Mheshimiwa Hussein Bashe. Maneno ya Mheshimiwa Waziri yakisema kuwa serikali haitapeleka huduma za Dawa,mbegu na hata wanunuzi katika jimbo la kisesa kwa makosa ya mbunge wao ambaye alisema kuwa serikali hupeleka vitu feki hadi wanunuzi wa bei ndogo.
Nimejiuliza hivi Mheshimiwa waziri anaweza vipi kutamka maneno ya namna hiyo hadharani? Ndio uongozi huo? Nani kampa jeuri hiyo? Nani kamuagiza kutamka maneno hayo? Nani kamfundisha kuwa ndio serikali inavyofanya mambo yake hivyo? Vipi siku mbunge akisimama Bungeni na kusema kuwa serikali imepeleka Dawa za binadamu feki na wahudumu wasio na sifa jimboni kwake? Je, atatoa amri kuwa jimbo hilo lisipewe hata kidonge kimoja na kuwataka wahudumu waache kutoa huduma? Je Wagonjwa wangapi watakufa kwa kukosa dawa? Wagonjwa wangapi watafia wodini na milangoni kwa kushindwa kupokelewa na kupewa huduma? Kosa litakuwa la nani?
Vipi siku mbunge akisimama bungeni akasema kuwa jimboni kwake walimu hawafundishi vizuri na wanashinda wanaendesha bodaboda na wakike wanashinda wanauza vitambaa mitaani? Je waziri atafunga shule na kuondoa walimu wote jimbo hilo? Vipi mwingine mbunge akitokea akasema polisi wa jimboni kwake wanaonea Wananchi? Je waziri atafunga vituo vyote vya polisi na kuondoa askari wote katika jimbo hilo?
Hivi hiyo itakuwa ni serikali ya aina gani? Nani ataielewa? Nani ataiunga mkono? Nani atafurahishwa na maamuzi hayo? Nani ataelewa umakini wa serikali hiyo? Hivi maamuzi kama hayo ya Mheshimiwa Hussein Bashe ndio uongozi huo? Kwanini hajakwenda kufanyia kazi na kufanya uchunguzi wa tuhuma na malalamiko ya Mbunge na kisha kuja kupinga hadharani na kuwatoa hofu wananchi wake?
Je mbunge wa kisesa alichaguliwa na wananchi wote? Vipi wale ambao hawakumchagua na hawamuungi mkono na wala hawakubaliani na kauli zake? Wao unawasaidiaje? Je huduma kwa wananchi walipa kodi ni wajibu wa serikali au hisani? Ni takwa la kisheria au ni maamuzi ya waziri na hisia zake na maelewano yake na mbunge wa jimbo husika?
Halafu inakuwaje Mheshimiwa waziri aseme kwa kiburi kabisa kuwa AMEAMUA na kama mbaya na iwe mbaya.je yeye ni Rais? Amepoka madaraka ya Rais? Anapata wapi kiburi na majivuno ya kutamka kauli hiyo ambayo haiwezi kutamkwa hata na makamu wa Rais wala waziri Mkuu wala naibu waziri Mkuu? Kwa hiyo anaposema yeye ameamua anamaanisha kuwa yeye ndio alfu na omega na mwenye kauli ya Mwisho?yeye ndio Mkuu wa Nchi? Ndio Amiri Jeshi Mkuu wetu?
Kwanini anamshusha na kumvunjia heshima Mheshimiwa Rais na kuonekana kana kwamba siyo kitu? Kwanini anamchafua na kumdharau Mheshimiwa Rais na kuonekana kama hana uwezo wala nguvu ya kumfanya chochote kile na kwamba pasipo yeye haiwezekani mambo yakaenda? Hivi Mheshimiwa amejikwaa ulimi au ameteleza? Alidhamiria kusema hivyo au ni kujisahau?
Kwanini kiongozi ngazi ya Uwaziri ujidhalilishe na kuidhalilisha serikali na mamlaka ya uteuzi kiasi hicho? Nini kipo nyuma ya pazia ya kauli ya Mheshimiwa Waziri? Kwanini waziri ushindwe kudhibiti hisia zako? Kwanini ushindwe kuchunga ulimi wako? Kwanini ushindwe kutumia Busara,hekima na kuwa mtulivu uzungumzapo? Je hiyo ni kauli ya serikali nzima?
Halafu inakuwaje Mh Waziri aseme kuwa atakwenda kuwauliza wananchi wa kisesa kama wanamtuma mbunge wao kuzungumza azungumzayo? Je kwanini asingekwendwa kuzungumza kwanza na wananchi kabla ya kutoa maneno na kauli yake ambayo haikubaliki bila kujali itikadi za kisiasa? Na vipi kama wangesema kuwa wanaunga mkono kauli za mbunge wao? Je waziri angewanyima huduma au angepaswa kufanya uchunguzi wa madai na malalamiko ya Wananchi?
Napingana katika mambo mengi na Mheshimiwa Luhaga Mpina. Lakini pia nilikuwa namuunga mkono Mheshimiwa waziri katika mambo mengi Tangia akiwa mbunge mpaka waziri na hata hapa nimewahi kuandika kumpongeza ,lakini katika hili sikubaliani naye hata kidogo.
Mwisho mbona wabunge wa upinzani walikuwa kwa miaka yote wanapinga kila bajeti ya serikali inayopelekwa bungeni na ya kila wizara na bado wakawa wanapelekewa miradi mbalimbali ya maendeleo majimboni kwao na kupewa pesa za mfuko wa jimbo?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Upo sahihi kabisa.ilitakiwa awe ameandika barua ya kujiuzulu na kuomba radhi kwa watanzania.Kwa mara ya kwanza naomba nikupongeze kwa kuandika na kujenga hoja kwa uweledi wa hali ya juu.
Mimi ni mwana CCM, napenda ukweli na fitina kwangu ni mwiko.
Waziri Bashe amenyesha upeo mdogo sana ktk Uongozi.
Kwa kauli yake hiyo alipaswa tayari awe ameshajiuzuru.
Hadi ukabubujikwa na uharo kama bata.Amenisikitisha na kunishangaza sana kwa maneno yake yenye kujaa kila aina ya kiburi na dharau kwa watanzania.
Nimekusamehe bure kabisa maana najua kuwa ukikua utaacha utoto na ujinga wako.kwa sasa utoto unakusumbua sanaHadi ukabubujikwa na uharo kama bata.
Hili papai linakurupuka tuLucas Mwashambwa umesikiliza hotuba yote alikosema ataenda huko Kisesa kuwauliza wananchi au unakurupuka tu mjinga wewe
Kurjuan imeshaanza kufanya kazi mabwege nyieNimekusamehe bure kabisa maana najua kuwa ukikua utaacha utoto na ujinga wako.kwa sasa utoto unakusumbua sana
UmesamehewaKurjuan imeshaanza kufanya kazi mabwege nyie
Mbona huseminkuabatakwenda kuwauliza wananchi wa kisesa kama wamemtuma hsayo Mbunge wao?Ndugu zangu Watanzania,
Nimesikitika sana, kusononeka sana,kushangazwa sana,kuumia sana ,kutoamini macho na masikio yangu kwa kile nilichokiona na kusikia maneno na kauli za waziri wa kilimo Mheshimiwa Hussein Bashe. Maneno ya Mheshimiwa Waziri yakisema kuwa serikali haitapeleka huduma za Dawa,mbegu na hata wanunuzi katika jimbo la kisesa kwa makosa ya mbunge wao ambaye alisema kuwa serikali hupeleka vitu feki hadi wanunuzi wa bei ndogo.
Nimejiuliza hivi Mheshimiwa waziri anaweza vipi kutamka maneno ya namna hiyo hadharani? Ndio uongozi huo? Nani kampa jeuri hiyo? Nani kamuagiza kutamka maneno hayo? Nani kamfundisha kuwa ndio serikali inavyofanya mambo yake hivyo? Vipi siku mbunge akisimama Bungeni na kusema kuwa serikali imepeleka Dawa za binadamu feki na wahudumu wasio na sifa jimboni kwake? Je, atatoa amri kuwa jimbo hilo lisipewe hata kidonge kimoja na kuwataka wahudumu waache kutoa huduma? Je Wagonjwa wangapi watakufa kwa kukosa dawa? Wagonjwa wangapi watafia wodini na milangoni kwa kushindwa kupokelewa na kupewa huduma? Kosa litakuwa la nani?
Vipi siku mbunge akisimama bungeni akasema kuwa jimboni kwake walimu hawafundishi vizuri na wanashinda wanaendesha bodaboda na wakike wanashinda wanauza vitambaa mitaani? Je waziri atafunga shule na kuondoa walimu wote jimbo hilo? Vipi mwingine mbunge akitokea akasema polisi wa jimboni kwake wanaonea Wananchi? Je waziri atafunga vituo vyote vya polisi na kuondoa askari wote katika jimbo hilo?
Hivi hiyo itakuwa ni serikali ya aina gani? Nani ataielewa? Nani ataiunga mkono? Nani atafurahishwa na maamuzi hayo? Nani ataelewa umakini wa serikali hiyo? Hivi maamuzi kama hayo ya Mheshimiwa Hussein Bashe ndio uongozi huo? Kwanini hajakwenda kufanyia kazi na kufanya uchunguzi wa tuhuma na malalamiko ya Mbunge na kisha kuja kupinga hadharani na kuwatoa hofu wananchi wake?
Je mbunge wa kisesa alichaguliwa na wananchi wote? Vipi wale ambao hawakumchagua na hawamuungi mkono na wala hawakubaliani na kauli zake? Wao unawasaidiaje? Je huduma kwa wananchi walipa kodi ni wajibu wa serikali au hisani? Ni takwa la kisheria au ni maamuzi ya waziri na hisia zake na maelewano yake na mbunge wa jimbo husika?
Halafu inakuwaje Mheshimiwa waziri aseme kwa kiburi kabisa kuwa AMEAMUA na kama mbaya na iwe mbaya.je yeye ni Rais? Amepoka madaraka ya Rais? Anapata wapi kiburi na majivuno ya kutamka kauli hiyo ambayo haiwezi kutamkwa hata na makamu wa Rais wala waziri Mkuu wala naibu waziri Mkuu? Kwa hiyo anaposema yeye ameamua anamaanisha kuwa yeye ndio alfu na omega na mwenye kauli ya Mwisho?yeye ndio Mkuu wa Nchi? Ndio Amiri Jeshi Mkuu wetu?
Kwanini anamshusha na kumvunjia heshima Mheshimiwa Rais na kuonekana kana kwamba siyo kitu? Kwanini anamchafua na kumdharau Mheshimiwa Rais na kuonekana kama hana uwezo wala nguvu ya kumfanya chochote kile na kwamba pasipo yeye haiwezekani mambo yakaenda? Hivi Mheshimiwa amejikwaa ulimi au ameteleza? Alidhamiria kusema hivyo au ni kujisahau?
Kwanini kiongozi ngazi ya Uwaziri ujidhalilishe na kuidhalilisha serikali na mamlaka ya uteuzi kiasi hicho? Nini kipo nyuma ya pazia ya kauli ya Mheshimiwa Waziri? Kwanini waziri ushindwe kudhibiti hisia zako? Kwanini ushindwe kuchunga ulimi wako? Kwanini ushindwe kutumia Busara,hekima na kuwa mtulivu uzungumzapo? Je hiyo ni kauli ya serikali nzima?
Halafu inakuwaje Mh Waziri aseme kuwa atakwenda kuwauliza wananchi wa kisesa kama wanamtuma mbunge wao kuzungumza azungumzayo? Je kwanini asingekwendwa kuzungumza kwanza na wananchi kabla ya kutoa maneno na kauli yake ambayo haikubaliki bila kujali itikadi za kisiasa? Na vipi kama wangesema kuwa wanaunga mkono kauli za mbunge wao? Je waziri angewanyima huduma au angepaswa kufanya uchunguzi wa madai na malalamiko ya Wananchi?
Napingana katika mambo mengi na Mheshimiwa Luhaga Mpina. Lakini pia nilikuwa namuunga mkono Mheshimiwa waziri katika mambo mengi Tangia akiwa mbunge mpaka waziri na hata hapa nimewahi kuandika kumpongeza ,lakini katika hili sikubaliani naye hata kidogo.
Mwisho mbona wabunge wa upinzani walikuwa kwa miaka yote wanapinga kila bajeti ya serikali inayopelekwa bungeni na ya kila wizara na bado wakawa wanapelekewa miradi mbalimbali ya maendeleo majimboni kwao na kupewa pesa za mfuko wa jimbo?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
UmesamehewaHili papai linakurupuka tu
Hakyamungu NIMEBUBUJIKWA NA MACHOZIMimi siyo saa mbovu bali ni msema kweli siku zote.
naomba uyaweke na kuyaandika vizuri maneno hapo nilipoweka mabano ili yaeleweke na nikujibu kulingana na swali lako.Mbona (huseminkuabatakwenda)kuwauliza wananchi wa kisesa kama wamemtuma hsayo Mbunge wao?