Hussein Bashe: Upungufu wa sukari nchini utaisha mwezi Machi

Hussein Bashe: Upungufu wa sukari nchini utaisha mwezi Machi

Ipo siku wanancho watakufa na njaa kwa sababu TU ya viongozi kushindwa kuwajibika na kujipanga mapema hasa zile nyakati zinazohitaji msaada wa serikali kwa wanachi .. sukari ilipaswa iwepo ya kutosha muda wote
 
View attachment 2877600
Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo

Kutokana na kuwepo kwa upungufu wa sukari nchini, Serikali imeeleza kuwa mvua za El Nino zinazoendelea kunyesha zimeathiri mfumo mzima wa uvunaji wa miwa na hivyo kuathiri wa uchakataji na kupelekea uwepo wa upungufu wa sukari.

Akizungumza Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema kutokana na mvua hizo, kiwango cha miwa kinachovunwa kimeshuka kwa wastani wa asilimia 25 hali iliyoathiri shughuli za uzalishaji na kupelekea upungufu ulioleta athari kwenye soko.

“Mchakato wa uvunaji wa miwa huvunwa kwa mashine maalumu kutoka mashambani. Mvua zilivyokuwa nyingi zimeathiri mfumo mzima wa uvunaji, na hivyo kuathiri mfumo mzima wa uchakataji kiwanda kama Kilombero ambacho kilikuwa na uwezo wa kuzalisha tani 700 kwa siku, sasa kinazalisha tani 250, Kagera Sugar kilikuwa na uwezo wa kuzalisha tani 500 kwa siku sasa kinazalisha wastani wa tani 200 mpaka 300,”

Kutokana na hali hiyo, Serikali imesema hatua ya kwanza iliyochukua ni kuruhusu uagizaji wa sukari wastani wa tani laki 1 ambao umepewa viwanda nchini pamoja na kuwaagiza wenye viwanda na wasambazaji kuhakikisha wanasimamia usambazaji bila kumuumiza mlaji.
Upungufu wa sukari, upungufu wa umeme, upungufu wa...
 
Maji mengi sukari HAKUNA
Maji hakuna UMEME HAKUNA
MAJI YAPO VYOTE HAKUNA.
KIZIMKAZIameshindwa na wafanya bznes ndani ya Tanganyika.
Lakini mwisho w cku hana cha kupoteza si anunui sukari nyumbani.
Hebu msikilize hapa...
 
Halafu kuna ‘body ya sukari’ yenye jukumu la ku-monitor stock levels na kuakikisha sukari ina patikana siku zote.

Mpaka sukari inakua hadimu maana yake kuna uzembe wa hali ya juu on risk attitude and high risk appetite.

Ina maana kama nchi atuweki ‘buffer stock’ ya kumudu upungufu utakaotokana unforeseen external factors zitazoweza vuruga mavuno consiidering all elements of nature; and lead time ya kuagiza kuondoa madhara.

Hakuna mitigating plan ya kupunguza madhara ya ‘down side strategic risk’ itakapotokea yaani mvua inyeshe uone madhara yaliyo mbele hakuna plan yeyote ya intervention mpaka sukari inaisha.

9C620F70-ECEC-44A3-9CBD-9AA73354B19D.jpeg


Serikali iwanunulie hawa vilaza vitabu vya risk management. It’s just appalling uzembe wa kiasi hiko.

Hakuna utetezi wowote zaidi ya uzembe na kuwapa watu nafasi bila ya sifa sahihi ndio msingi wa tatizo.

Nafasi zenyewe sasa wakitangaza au hao wateuliwa wenyewe utasikia sijui Prof, Dr, experience ya miaka 5 at senior level. Halafu utendaji zero, sasa hadi unapata Phd na experience ya executive position kwa miaka mitano inakuwaje uwezi hata kufanya inventory control.

Shida ni uwezo mdogo wa hawa watu, nothing else.
 
Mwenyewe anaona ametoa sababu ya maana kweli!!!

Waziri mzima, unayetarajiwa kuwa na akili na weledi wa kutosha unathubutu kuwaambia kuwa sababu ya tatizo ni mvua!! Hivi mvua imeanza kunyesha mwaka huu? Yeye kama msimamizi wa sekta hakuwa anajua kuwa kila mwaka huwa kuna kipindi cha mvua? Walichukua tahadhari gani?
 
Kwahio bongo huwa hatuna stock ya kitu chochote? Kwamba uzalishaji ukishuka hakuna hifadhi ya sukari kwenye maghara ya taifa ambayo wanaweza kuitoa ili kuokoa jahazi?
Kuna siku tukipata janga kubwa watu watakufa kwa njaa kama dagaa
 
View attachment 2877600
Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo

Kutokana na kuwepo kwa upungufu wa sukari nchini, Serikali imeeleza kuwa mvua za El Nino zinazoendelea kunyesha zimeathiri mfumo mzima wa uvunaji wa miwa na hivyo kuathiri wa uchakataji na kupelekea uwepo wa upungufu wa sukari.

Akizungumza Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema kutokana na mvua hizo, kiwango cha miwa kinachovunwa kimeshuka kwa wastani wa asilimia 25 hali iliyoathiri shughuli za uzalishaji na kupelekea upungufu ulioleta athari kwenye soko.

“Mchakato wa uvunaji wa miwa huvunwa kwa mashine maalumu kutoka mashambani. Mvua zilivyokuwa nyingi zimeathiri mfumo mzima wa uvunaji, na hivyo kuathiri mfumo mzima wa uchakataji kiwanda kama Kilombero ambacho kilikuwa na uwezo wa kuzalisha tani 700 kwa siku, sasa kinazalisha tani 250, Kagera Sugar kilikuwa na uwezo wa kuzalisha tani 500 kwa siku sasa kinazalisha wastani wa tani 200 mpaka 300,”

Kutokana na hali hiyo, Serikali imesema hatua ya kwanza iliyochukua ni kuruhusu uagizaji wa sukari wastani wa tani laki 1 ambao umepewa viwanda nchini pamoja na kuwaagiza wenye viwanda na wasambazaji kuhakikisha wanasimamia usambazaji bila kumuumiza mlaji.
Tutaanza kunywa chai mwezi machi CCM 1954-2024=70years
 
Kabisa namuonaga kama populist hakuna alichowahi kusema kikafanikiwa anzia BBT,ruzuku ya pembejeo na mbolea
Bashe alikuta mbolea bei chini sana ila mwaka wake wa kwanza bei ikapanda mara mbili.

Akaja na bonge la dili kwa rafiki zake la kuweka monopoly kwenye mfumo wa mbolea.

Hii nchi tunapigwa sana kumamae
 
Back
Top Bottom