Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo: Waagizaji hawakupaswa kuleta mchele wa Msaada kutoka Marekani kwani Tanzania ina hazina ya mchele

..watoto wanakuwa chakula kibaya na Duni ktk mashine yetu.

..wacha Wamarekani na wasamaria wema wengine wajitokeze kuwapa watoto wetu lishe bora.

Bashe anafanya siasa tu. Lazima alikuwa anajua ujio wa huo mzigo

A little too late to catch a moving train
 
Mimi binafsi sioni shida kupewa msaada huo kama hauna masharti yo yote! Ili mradi tu usiwe na madhara kwa watoto wetu.
 
Watoto 300 wakila huu mchele 100 mpaka 200 watakuwa jamii ya upinde. Virutubisho vya upinde lazima watoto wawe target kuu.
Uoga tuu usiokuwa na maana , hao upinde mtaani walikula chakula gani?
 
kitu muzuri sana H.e Bashe. Babu yangu anaeleza alikula ugali ya njano ilikuwa hakuna Vitamini.
Ugali wa njano hauwezi kukosa vitamini. Soma hiyo.

Nutritional Value of Yellow Maize: Yellow maize is rich in essential nutrients, making it a valuable source of energy, protein, vitamins, and minerals. The grain contains high levels of carbohydrates, primarily in the form of starch, which serves as a vital energy source.
 
Lakin pamoja na Yote maabara zetu zinashindwa kbsa kupma huo mchele una nn ndan , Watu wanapng tuu utazan n story za vijiwen
Kwani mchele una sumu?
 
Nimewahi kutoa hoja ya Serikali kuhakikisha NGOs zote zinapitisha mipango Yao Serikalini na Bajeti zake ziwe Zina complement mipango ya serikali lakini wenye vi NGOs vya upinde wakapinga sana.

Ikiwezekana vipigwe marufuku au vibanwe kama ambavyo Mwendazake alivibana . Haiwekani Nchi iwe inadharirishwa tukae kimya.

View: https://www.instagram.com/p/C4mipROIaLC/?igsh=MXVlbHlqdzBrbjM4dw==
 
Viongozi wetu wanaleta mchezo na afya za watanzania,lkn tujiulize Sisi Ni WA kuletewa Chakula kweli mbona Sisi Ni wahovyo hivi au ndio tukubali kuwa Sisi Ni living things na Si human being?
 
Kwani imewahi kutokea mzungu akampenda mtu mweusi??? Tukienda huko kwao wanatuita nyani na kutunyanyapaa kila kona. BTW mzungu anatafuta kila namna kumpoteza mtu mweusi kwenye uso wa dunia.

Tunalindwa na Mungu tu
Sio kweli. Mzungu hana mpango wa kutupoteza bingwa. Sisi watu weusi ni soko la bidhaa zao... ni opportunity... ni sehemu ya kubwaga bidhaa zao zilizokwishatumika... sisi pia ni nguvu kazi ya miradi mbalimbali wanayoifanya ktk nchi zetu. Mzungu anatuhitaji sn ili kumsaidia ktk kukuza uchumi wake.

Mzungu anamfurahia mtu mweusi kwa sababu anafaidika na riba anayopata kutokana na mikopo tunayokopa kwao. Mabenki ya wazungu wananufaika na matrilioni ya mapesa yaliyoifadhiwa na watu weusi ktk mabenki yao. Mzungu anafaidika nasi kwani ndiye anayeuza silaha kwa waasi kule Kongo na sehemu zote zenye machafuko Afrika.

Mzungu anafanya uchafuzi wa mazingira kupitia viwanda vyake, tunatumika sisi na mapori yetu kusafisha hayo mazingira.
 
Bashe is talking shit! Serikali walikuwa wapi wakati walioagiza wanaomba vibali vya kuingiza hiyo bidhaa? CCM kumejaa majitu mapumbavu!
 
Tatizo kubwa la nchi yetu siyo umaskini, bali ujinga (au upumbavu).

Niambie nini tusichokuwa nacho kama taifa, mbali na akili?
1.Mafuta
2.Mnyama Dubu,Penguin na Tiger n.k πŸ€—
3.Some rare earth minerals
4.Vazi la Taifa 🀣🀣
Usichukulie serious
 
Mkuu unamjibu huyo upinde anayetembea amevaa nepi.Achana nae.Kwa ufupi wazazi wa Dodoma wasikubali.Wakuu wa Shule kupitia vikao na wazazi waambiwe mkiwalisha watoto wetu huo Mchele tutawachapa bakora mpaka mfe.
 
Kama ishafika nchini, wakizuia kuliwa kwenye hizo shule zilizotarajiwa, hiyo shehena ya mchele na maharage yenye "virutubisho" itaingizwa sokoni kupitia maduka ya jumla na rejareja.

Wangerejesha zilipotaka au wachome moto chap
 
Kwanza Kuweka Virutubisho katika mchele vina madhara makubwa kwa afya ya binadamu Wameleta mchele wakuwadhuru watoto wetu wanaosoma mashuleni. Hivyo virutubisho Vitakuja kuwafanya watoto wawe tasa wakifika umri wa kuweza kuoa au kuolewa au wanaweza kupatwa na maradhi yoyote yasiyoweza kutibika. Serikali iangalie sana misaada wanayotoa Wa-Marekani hawatoi Misaada mizuri misaada yao ina madhara kiafya. Kiafya Chakula chochote kile kikiongezwa kirutubisho kina madhara kwa Afya ya binadamu. Ninahisi Utakuwa ni Mchele wa GMO genetically Modified Organism. Kazi kwenu Wa-Tanzania munaopenda kuletewa Misaada ya bure itawaponza sana .

 
Kwani hao Waagizaji hawakuwa na mawasiliano na Serikali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…