Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo: Waagizaji hawakupaswa kuleta mchele wa Msaada kutoka Marekani kwani Tanzania ina hazina ya mchele

Ukombozi wa Tanzania upo Mikononi mwa Watanzania wenyewe.
Ukombozi wa African upo Mikononi mwa waafrika Wenyewe.
"Ee Mungu tusaidie kufungua frikra zetu tuondokane na uvivu wa kufikiri na utupatie moyo wa kizalendo kwa kufanya kazi kwa bidii pasipo kunufaisha matumbo yetu iwe kwaajili ya ustawi wa vizazi vyetu vya baadae wapate kuishi Tanzania iliyo Salama" Amina.
 
Ukombozi wa Tanzania upo Mikononi mwa Watanzania wenyewe.
Ukombozi wa African upo Mikononi mwa waafrika Wenyewe.
"Ee Mungu tusaidie kufungua frikra zetu tuondokane na uvivu wa kufikiri na utupatie moyo wa kizalendo kwa kufanya kazi kwa bidii pasipo kunufaisha matumbo yetu iwe kwaajili ya ustawi wa vizazi vyetu vya baadae wapate kuishi Tanzania iliyo Salama" Amina.
 
Wewe umejuaje kama nakaa mjini? Ok,vijijini kuna njaa. Sasa huo msaada kwanini usielekezwe vijijini kwenye njaa?
Unafikiri kwanini wanawalenga watoto?
Jumlisha issues za chanjo kwa ajili ya magonjwa,mlango wa kizazi nk.
Nakuja kaka
 
Bro, huo msaada uliotolewa na Marekani kwa Tanzania wala hauwezi kuizuia Marekani kuzipa msaada nchi hizo ulizozitaja. Ni juzi tu Marekani amemwaga Tani elfu 49 za Chakula cha Msaada huko Ethiopia.
 
Tena angekuwa uncle Magu viongozi wa hiyo NGO wangekula mboko, wanataka kutuulia kizazi chetu shupavu. Hii nchi ina watu wa hovyo sana, ilitakiwa wapewe masaa kadhaa huo mchele uwe umechomwa na TBS
J.lokole anasemaje kwani
Vo bado unafatilia vipindi vyake

Ova
 
Watoto 300 wakila huu mchele 100 mpaka 200 watakuwa jamii ya upinde. Virutubisho vya upinde lazima watoto wawe target kuu.
Sinza huko wamejaaa upinde kibao na mnaishi nao
Media zenu tu wamejaaa upinde kibao pia
Vp hao wameletwa na wazungu

Ova
 
Sinza huko wamejaaa upinde kibao na mnaishi nao
Media zenu tu wamejaaa upinde kibao pia
Vp hao wameletwa na wazungu

Ova
Wewe kula huo mchele siku ukianza kuwashwa na makali…o utanikumbuka🤣
 
Labda babu yako angekosa huo ugali wa njano angekufa kabisa kwa njaa au angeshindwa hata kufanya mapenzi kuzaa na hata leo hii wewe usingekuwepo.

🗣️💩🚮
 
vya bagombe donke na bifaranga vya kuku. Tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…