britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Katibu mkuu Kiongozi anaweza rejea nafasiniii au akalamba sehemu fulan nzito
Keep waiting….
Britanicca
Keep waiting….
Britanicca
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katibu mkuu Kiongozi anaweza rejea nafasiniii au akalamba sehemu fulan nzito
Keep waiting….View attachment 3039747
Britanicca
Atateuliwa mbunge kisha Waziri wa Maokoto
Here we go
Mimi kwa sasa nipo makini sana na taarifa zako maana wewe siyo mtu wa kawaida .View attachment 3039752
Makafiri hamna zuri, that's why mwamposa anawalaza wima pale kawe anawapiga pesa hadi akili ziwakae sawa.Ali...nipo mwalimu
Juma...nipo mwalimu
Hussein...nipo mwalimu
Shabani...nipo mwalimu
.
.
.
Mkuu angalia usiwaharibie kwa kuwa habari zimevuja kabla ya kutolewa rasmi.Katibu mkuu Kiongozi anaweza rejea nafasiniii au akalamba sehemu fulan nzito
Keep waiting….View attachment 3039747
Britanicca
Wanajali maana Mombo na baraza ilikuwa livunjwe ijumaa ilee Lakin akakaushaMkuu angalia usiwaharibie kwa kuwa habari zimevuja kabla ya kutoleea rasmi.
Au wakuu hawajali hili siku hizi?
Makafiri hamna zuri, that's why mwamposa anawalaza wima pale kawe anawapiga pesa hadi akili ziwakae sa
YeahKwani ako na weledi huo ?
THUBUTU yako,muislam Gani amuache Muhammad amfuate Mtume wa kinyakyusa??Mbona kwenye shuhuda zake ni wakina Mwajuma,Mariamu,Shida,Juma,Selemani, Abubakar,Aziza!!!???
Katibu mkuu Kiongozi anaweza rejea nafasiniii au akalamba sehemu fulan nzito
Keep waiting….View attachment 3039747
Britanicca
!Yeah
Anapeleka ujumbe Kwa S, kuwa hata afanyeje lazima Siri zivuje🤔Mkuu angalia usiwaharibie kwa kuwa habari zimevuja kabla ya kutolewa rasmi.
Au wakuu hawajali hili siku hizi?
Huyu 'Britanica' kazi yake ni hii hapa:Da we jamaa, yaani faili likitoka vetting unatoa taarifa. Lazima upo kwenye mduara wa kula keki ya taifa.